Utajiri wa gesi umepotelea wapi?

Utajiri wa gesi umepotelea wapi?

Mleta uzi anasahau mswaada ulipitishwa usiku wa manane, wapinzani hawahawa wakiwa wamefukuzwa ukumbini na spika. Ile ilikuwa kuiuza gas hiyo kwa mikataba sawa na ya madini mengine. WaTz hatuna wa kumlaumu tujilaumu wenyewe kwa kuendekeza uongozi huu wa CCM.
 
miaka kadhaa iliyopita tulipewa taarifa ya ugunduzi wa ma million cubic ya ujazo ya GAS asilia, na moja kwa moja viongozi wa nchi wakatwambia sasa umaskini ndo bye bye. Wimbo maarufu ulikua UCHUMI WA GAS, huku mahubiri ya kisiasa yakichagizwa na matumaini kwa watanzania kuwa wakati wetu wa kuuaga umaskini umewadia.

Nani asiyemkumbuka Prof Muhongo alivyosimamia mahubiri haya, lakini pia serikali ya CCM ilivyofikia hadi hatua ya kupeleka POLIS na JESHI kudhibiti watu kule kusini ili uchimbaji wa GAS ufanikiwe. Ziara zikafanyika nchini Algeria na URUSI ili kupata uzoefu wa kuendesha uchumi wa gas

CHA KUSHANGAZA, hakuna tena anayeongelea kuhusu UCHUMI WA GAS wala kuuaga umaskini kupitia UCHUMI WA GAS.
HUU UTAJILI WA GAS umepotelea wapi hivi??

Achana na mambo ya GAS tuko kwenye kununua na kuua upinzani kwa kasi ya ajabu ili tuweze kupata viwanda
 
miaka kadhaa iliyopita tulipewa taarifa ya ugunduzi wa ma million cubic ya ujazo ya GAS asilia, na moja kwa moja viongozi wa nchi wakatwambia sasa umaskini ndo bye bye. Wimbo maarufu ulikua UCHUMI WA GAS, huku mahubiri ya kisiasa yakichagizwa na matumaini kwa watanzania kuwa wakati wetu wa kuuaga umaskini umewadia.

Nani asiyemkumbuka Prof Muhongo alivyosimamia mahubiri haya, lakini pia serikali ya CCM ilivyofikia hadi hatua ya kupeleka POLIS na JESHI kudhibiti watu kule kusini ili uchimbaji wa GAS ufanikiwe. Ziara zikafanyika nchini Algeria na URUSI ili kupata uzoefu wa kuendesha uchumi wa gas

CHA KUSHANGAZA, hakuna tena anayeongelea kuhusu UCHUMI WA GAS wala kuuaga umaskini kupitia UCHUMI WA GAS.
HUU UTAJILI WA GAS umepotelea wapi hivi??

Subiri mamsap hajarudi likizo ya uzazi atakujibu hili

Kichanga cha nchi kwanza. Mambo mengine yatakuja yenyewe taratibu
 
miaka kadhaa iliyopita tulipewa taarifa ya ugunduzi wa ma million cubic ya ujazo ya GAS asilia,
Hadi sasa ripoti zinaonesha 57 trillion cubic feet ambayo ni takribani 1.6 TRILLION Cubic Meters!

1. Gas sio story but it's real... ninachoona ni mitazamo tofauti kati ya JK na JPM. Wakati JK aliamini katika uchumi wa gas, JPM anaonekana kuamini katika uchumi wa madini (achana na porojo za viwanda).

2. Kwamba Gas imechukuliwa na Wachina ni propaganda tu za kisiasa! Kilichofanyika hadi sasa ni exploration tu... uchimbaji wa gas hujafanyika kabisa.

Na katika kufanya exploration, ni makampuni ya mafuta ya Ulaya na America ndiyo yalifanya hiyo kazi kwa pesa zao wenyewe.

There's no way mtu anaweza kutumia mabilioni ya shilingi kufanya exploration halafu agundue gas kisha ampe Mchina.

3. Uchimbaji wa gas, hususani inayopatikana kina kirefu ni very expensive! Industry ya oil na gas kwa ujumla wake ni very expensive! Angalia tu kile kiwanda ambacho kilikuwa ndio kiwe gas processing plant... kilikadiriwa kufikia gharama ya $30 Billion.

So, kwa mazingira ya sasa ambayo serikali haitabiriki itakuja na jambo gani, ni kama limefanya investors wanarudi nyuma kusikilizia! Na wala sioni kama ni top priority ya JPM ukilinganisha na anavyohangaika na madini!
 
Kama unajua inatoka nje domo la nini kuwa makini utatolewa mahali.
nchi ni sisi sote if you mess up something i got right to act.Kama hujui jambo ni bora ukamfuata mtu mwenye sifa zilizotukuka,vinginevyo tutabakia kuwa Sheet hole states.
 
TUWE WAZALENDO, OPTIMISTIC POSITIVE THINKING IS HEALTHY AND CREATIVE
Hahaha kuwa mzalendo ni mimi kuwa na mawazo sawa na yako? Au kuamini kwamba yanayofanywa na serikali ni sahihi hata kama mimi naona siyo sahihi?! Au ndio kusifia uongo na kupindisha ukweli?!
Wachimbaji wote huwa wanaondoka bila kufukia mashimo, kuthibitisha kasome report ya bulyankhulu uone, hivyo kukumbusha wataalamu wetu waje nataaluma hiyo ni kuipunguzia nchi gharama kutafuta kampuni za kigeni kufukia mahandaki. Uzalendo upi unataka niwe nao, zaidi ya huo?! Au wewe ni miongoni mwa vijana mliohitimu JKT tulioambiwa mmeenda kujifunza kuwa wazalendo?! Tufundisheni huo uzalendo mpya basi nasi tuufahamu.
 
Achana na mambo ya ajabu ajabu ya uchumi wa gesi...kwa sasa tuko kwenye uchumi wa viwanda...mambo ya gesi yashakuwa zilipendwa.
Hahahahaha, looooh,uchumi wa viwanda tushamaliza, sasa hivi tuko na uchumi wa marudio ya uchaguzi
 
Mpk tunafika 2020 tz itakuwa ishakimbiwa na wawekezaji karibu wote.
 
Juzi nmesikia uchumi wa Gas ya Helleum inayopatikana kwa wingi Tanzania tu Duniani kote...nahisi tutanunuliwa kila mtu Lamborghini yake kwa hii Gas
 
Mkuu hizi ndio hoja wapinzani wanapaswa kupanda nazo majukwaani kuonyesha umma kwamba wanahadaiwa. Hili la uchumi wa gas likipata mtu mzuri wakati wa hizi kampeni dakika 5 tu kila mkutano litawafanya ccm kupanda jukwaani kujitetea na sio kuuzia wananchi maendeleo Kiduchu/hewa. Akipatikana mpinzani mwingine, anasifia kidogo ujenzi wa SGR ili kuchota akili za wananchi, kisha anakandamiza maelezo ya kina yatolewe kwanini reli zilizoko zimedondoka mpaka kufanya chini ya ufanisi, na matatizo hayo hayatoikumba reli hii mpya? Kuna mambo mengi wapinzani wanaweza kuifanyia damage serekali ya ccm bila kuingia kwenye mikwaruzano isiyo na sababu.
Mkuu hao wapinzani wataongelea wapi wakati mikutano ya siasa imepigwa ban?
Serikali ya viwanda ndo yunakomaa nayo. Acheni siasa ati..
 
Back
Top Bottom