Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 137,676
- 272,519
dunia nzima itaikumbuka ccm kwa kuvunja sheria za kimataifa , pale ilipomzungusha BILA HATA CHEMBE YA AIBU balozi wa CHINA majukwaani , huku wakimvisha yale majoho ya ile rangi ya mikosi isiyotakiwa kuonwa na mgonjwa yoyote hapa MUHIMBILI !