Utaikumbuka CCM kwa lipi baada ya 2015?

Utaikumbuka CCM kwa lipi baada ya 2015?

dunia nzima itaikumbuka ccm kwa kuvunja sheria za kimataifa , pale ilipomzungusha BILA HATA CHEMBE YA AIBU balozi wa CHINA majukwaani , huku wakimvisha yale majoho ya ile rangi ya mikosi isiyotakiwa kuonwa na mgonjwa yoyote hapa MUHIMBILI !
 
Ni dhahiri harakati zinazofanya na vyama vya siasa vya upinzani kwa ujumla wake zinatishia uhai wa ccm pamoja na ccm kutumia mbinu za kihafidhina na kuwatumia makukulimbwe kama Mwigulu bado uhai wake ccm umeteteleka.

Kiti kiko wazi wa upinzani.unadhani utaikumbuka ccm kwa lipi liwe jema ama baya.

Mimi kama mimi nitaikumbuka ccm kwa kuweza kuwadanganya wananchi bila woga.

""Where we dare to talk openly""

KUMBUKUMBU YANGU AMBAYO SITAISAHAU kamwe ni UKARIMU WA AJABU SANA WA CCM WA KUWEZA KUGAWA FULANA NCHI NZIMA ! HUO NI UPENDO WA HALI YA JUU SANA !
 
Jamani nyie mkoje? Mie nimechoka kusema mabaya ya CCM. Sasa naanza mema. Nitaikumbuka sana CCM kwa burudani zake nyingi na jinsi ilivyokuwa inawakuna makada wake kwa mtiririko wa mauno. We acha tuu!
View attachment 148416
View attachment 148417
View attachment 148418
View attachment 148419

Funga kazi ni kama hapa ambapo mkulu naye anapewa mauno ya kufa mtu mpaka akiingoa ndani badala ya kusoma hotuba ya kikao che NEC anajikuta anasoma hotuba ya uzinduzi wa daraja la Malagalasi. Cheza na kiduku wewe!
View attachment 148420


Sent from my iPad using JamiiForums

mungu WANGU !!!
 
Ni dhahiri harakati zinazofanya na vyama vya siasa vya upinzani kwa ujumla wake zinatishia uhai wa ccm pamoja na ccm kutumia mbinu za kihafidhina na kuwatumia makukulimbwe kama Mwigulu bado uhai wake ccm umeteteleka.

Kiti kiko wazi wa upinzani.unadhani utaikumbuka ccm kwa lipi liwe jema ama baya.

Mimi kama mimi nitaikumbuka ccm kwa kuweza kuwadanganya wananchi bila woga.

""Where we dare to talk openly""

CCM ,KWELI KIMEPOTEZA MWELEKEO,MABAYA YAMEZIDI YALE MAZURI KWA ASILIMIA MIA MOJA ,THATS WHY HKUNA ZURI LA KULIKUMBUKA,TAZMA VILE WALIVYO NA DHRAU,MFANO ZURI NI JINSI WALIVO PUUZA MAZURI YOTE MREHEMU BABA WA TAIFA,(TBCccm ina kipindi cha wosia wa baba kila sikulakini hakuna linalo tekelezwa) .Mafisadi wamepeleka pesa nje ya nchi ,twiga wetuwanaibiwa,Ndani ya Serengeti kuna mamlaka ya Kiarabu,tumepiga kelele nyingi kwa vile ccm ni viziwi hawatusikii.
 
Kwa kuongoza kuvaa miwani ya mbao,wakati watanganyika wanazidi kuboresha uoni wao kwa kuvaa miwani ya vioo.
 
CCM ,KWELI KIMEPOTEZA MWELEKEO,MABAYA YAMEZIDI YALE MAZURI KWA ASILIMIA MIA MOJA ,THATS WHY HKUNA ZURI LA KULIKUMBUKA,TAZMA VILE WALIVYO NA DHRAU,MFANO ZURI NI JINSI WALIVO PUUZA MAZURI YOTE MREHEMU BABA WA TAIFA,(TBCccm ina kipindi cha wosia wa baba kila sikulakini hakuna linalo tekelezwa) .Mafisadi wamepeleka pesa nje ya nchi ,twiga wetuwanaibiwa,Ndani ya Serengeti kuna mamlaka ya Kiarabu,tumepiga kelele nyingi kwa vile ccm ni viziwi hawatusikii.

UKWELI ni UHURU .
 
Mkuu karibu kashata na kahawa tupooze uchungu

ukiwa na akili ya kati ( ILIYO DUMAA , maana si ndogo wala kubwa ) unaweza kudhani CDM IMESHINDWA CHALINZE ! Hicho ni KITENDAWILI KIGUMU SANA !
 
ukiwa na akili ya kati ( ILIYO DUMAA , maana si ndogo wala kubwa ) unaweza kudhani CDM IMESHINDWA CHALINZE ! Hicho ni KITENDAWILI KIGUMU SANA !

Mkuu karibu kahawa waswahili hatuga choyo
 
Nishati ya umeme:
- Kutoka mega wait 7 za Pangani falls wakati wa uhuru hadi mega wait 561 awamu ya tatu
- hivi sasa kuna uzalishaji wa mega wait 1500 za uhakika ndiyo maana hakuna mgao wa umeme
- 2015 baada ya bomba la gesi kukamilika inakadiriwa kufikia uzalishaji mega wait 3000 na zaidi
- Kuna mradi wa umeme vijijini, huu kwa kiasi kikubwa ni umeme wa kutumia nguvu ya jua. Hivi sasa awamu ya kwanza ya mradi huu imeshamalizika na unaingia kwenye awamu ya pili utakao gharimu takribani shilingi bilioni 850 utakaofika mikoa yote 24 ya Tanzania bara na asilimia karibu 80 ya fedha hizo zitatolewa na Serikali yetu, hii na hatua kubwa sana kufikiwa katika nchi ya EAC
- kuongezeka ajira kwenye sekta ya nishati ya umeme.
- Kujenga miundombinu ya nishati ya umeme.

Nguruwe pita sina mkuki mie wewe haramu kwangu...hebu tupe mrejesho wa maandishi mekundu una maana gani,ndo kipimo cha akili yako kilipofikishwa na mumeo CCM hata takwimu zako ni za kimagumashi kama mlivyozoea.Huo umeme wa kimagumashi umewasaidia kina nani zaidi ya mkulu na koo zake za kifalme,mademu ma washikaji zeke!.ndo sababu tunasema nyie ni majanga matokeo ya misukule (ghost) ndani ya CCM.Kwa upumbavu uliuojaliwa na CCM hakika ugonjwa ulionao hautaweza kupona afadhali yako kuu ni mauti.Kwa miaka yangu 5 ya uhandisi sijawahi kusikia neno mega wait (MegaWatt).

 
Kwa upande wa maradhi ya saratani, Februari, 2013 jengo jipya la kulaza wagonjwa 170 lilifunguliwa katika Taasisi ya Saratani ya Ocean Road. Kufunguliwa kwa jengo hilo kumeongeza uwezo wa taasisi yetu hiyo kulaza wagonjwa 290 badala ya 120 tu kabla ya hapo. Ujenzi wa jengo hili jipya umesaidia sana watu wengi zaidi kuhudumiwa na kupunguza msongamano mkubwa wa wagonjwa uliokuwepo

Badala ya kuongeza juhudi za kuzuia saratani yeye mkulu anasifu wanaume (USA) kumuongezea uwezo wa kutibu ptuu looh, hata haya hamnayo!Ni akili kujisifu kuongeza magereza au kupunguza uhalifu?

 
Back
Top Bottom