Utaikumbuka CCM kwa lipi baada ya 2015?

Utaikumbuka CCM kwa lipi baada ya 2015?

CCM
- Imejenga mabarabara mara mbili ya idadi ya kilomita alizozikuta
- Imejenga madaraja makubwa sana 3 kati ya 5 aliyoyaahidi Nyerere
- Imeleta vyuo vikuu zaidi ya 44 ? mara 4 zaidi ya waliowakuta
- Imewezesha wanafunzi 160,000 wa vyuo vikuu mara 4 zaidi ya aliowakuta
- Imejenga chuo kikubwa kuliko vyote EAC.
- Imeejenga chuo kikubwa cha sayari kwenye ukanda huu cha Nelson Mandera
- Imepeleka sekondari hadi kwenye kata
- Imezalisha umeme wa mega wait 1500 mara mbili zaidi ya alioukuta
- Imeanzisha umradi wa kupeleka umeme vijijini?
- Inajenga bomba la gesi kubwa toka Mtwara hadi DAR
- Inajenga barabara ya mabasi yaendayo haraka.
- Tanznaia inayekubalika na viongozi wote wakubwa wa Dunia hii
- Iliyeanzisha hospital ya tiba ya moyo nchini
- Iliyesogeza huduma za afya karibu na wananchi
 
Mimi siyo CCM na wala CCM siyo mama yangu.
Mnyonge mnyongeni haki yake mpeni, CCM kwenye barabara wamejitahidi.
Nitawakumbuka sana kwa hilo.
 
Kikwete amefanya maajabu kwa kutafuna mfupa uliomshinda fisi
- Daraja la kigamboni
- Katiba mpya
- Vitambulisho vya taifa
 
Mafanikio sekta ya Afya:
Mafanikio ya nchi yanapimwa kimataifa na hivi sasa kigezo kikubwa cha kupima maendeleo ya nchi ni malengo ya millennia.
Tanzania ni mojawapo ya nchi duniani ambayo ilitekeleza huduma za afya ya msingi kwa mafanikio makubwa sana baada ya uhuru, hii ni kauli ya Rais wa baraza kuu la 65 la UN mwaka 2011 Bw. Joseph Deiss alisema Tanzania ni nchi ya kupigiwa mfano barani Afrika.
Miongoni mwa mafanikio kwenye sekta ya afya ni:
- huduma za afya zimesogezwa karibu wananchi.
- utoaji wa chanjo za kuzuia magonjwa mbalimbali bure na chanjo kuhusu mama na mtoto.
- Kupunguza vifo vya watoto chini ya miaka 5.
- Huduma ya kinga ya maambukizi ya ukimwi toka kwa mama mjamzito kwenda kwa mtoto.
- Kupunguza vifo vitokanavyo na uzazi.
- Kupunguza malaria kwa kugawa vyandarua vyenye dawa.
- Kupunguza magonjwa yanayosababishwa na maji, magonjwa hayo ni pamoja na kipindupindu na homa ya matumbo.
- %86 miongoni mwa kaya maskini walitumia huduma za vituo vya afya vya serikali
- Utoaji wa dawa za kupunguza makali ya ukimwi bure.
- Utoaji wa tiba ya kifua kikuu na ukoma bure.
- Kutokomeza magonjwa mbalimbali ambayo hapo awali yalikuwa ni kero.
- Kuongeza ajira kwenye sekta ya afya.
- Kujenga miondombinu ya afya.
- Hospitali Ocean roard imetangazwa na na tume ya nyuklia duniani kuwa ni mfano hospitali bora ya tiba ya kansa barani Afrika.
- Imeanzishwa tiba ya moyo nchini, kuna operesheni za moyo zaidi ya 400 zimefanyika kwa mafanikio ndani kipindi cha miaka 3 hivi sasa.
 
Mafanikio sekta ya Afya:
Mafanikio ya nchi yanapimwa kimataifa na hivi sasa kigezo kikubwa cha kupima maendeleo ya nchi ni malengo ya millennia.
Tanzania ni mojawapo ya nchi duniani ambayo ilitekeleza huduma za afya ya msingi kwa mafanikio makubwa sana baada ya uhuru, hii ni kauli ya Rais wa baraza kuu la 65 la UN mwaka 2011 Bw. Joseph Deiss alisema Tanzania ni nchi ya kupigiwa mfano barani Afrika.
Miongoni mwa mafanikio kwenye sekta ya afya ni:
- huduma za afya zimesogezwa karibu wananchi.
- utoaji wa chanjo za kuzuia magonjwa mbalimbali bure na chanjo kuhusu mama na mtoto.
- Kupunguza vifo vya watoto chini ya miaka 5.
- Huduma ya kinga ya maambukizi ya ukimwi toka kwa mama mjamzito kwenda kwa mtoto.
- Kupunguza vifo vitokanavyo na uzazi.
- Kupunguza malaria kwa kugawa vyandarua vyenye dawa.
- Kupunguza magonjwa yanayosababishwa na maji, magonjwa hayo ni pamoja na kipindupindu na homa ya matumbo.
- %86 miongoni mwa kaya maskini walitumia huduma za vituo vya afya vya serikali
- Utoaji wa dawa za kupunguza makali ya ukimwi bure.
- Utoaji wa tiba ya kifua kikuu na ukoma bure.
- Kutokomeza magonjwa mbalimbali ambayo hapo awali yalikuwa ni kero.
- Kuongeza ajira kwenye sekta ya afya.
- Kujenga miondombinu ya afya.
- Hospitali Ocean roard imetangazwa na na tume ya nyuklia duniani kuwa ni mfano hospitali bora ya tiba ya kansa barani Afrika.
- Imeanzishwa tiba ya moyo nchini, kuna operesheni za moyo zaidi ya 400 zimefanyika kwa mafanikio ndani kipindi cha miaka 3 hivi sasa.

Hopeless! Viongozi wangapi wamefia nje ya nchi miaka ya utawala wa jk wakitafuta matibabu? Kama huduma hizo hazipo hapa kuwahudumia waheshimiwa hao ni wangapi wasio jiweza wamekufa kwa maradhi hayo hayo?

Hivi unajua vifo vya watoto chini ya miaka mitano na akina mama wanaokufa wajawazito
 
Hopeless! Viongozi wangapi wamefia nje ya nchi miaka ya utawala wa jk wakitafuta matibabu? Kama huduma hizo hazipo hapa kuwahudumia waheshimiwa hao ni wangapi wasio jiweza wamekufa kwa maradhi hayo hayo?

Hivi unajua vifo vya watoto chini ya miaka mitano na akina mama wanaokufa wajawazito

wala usihangaike naye kishalipwa huyo !
 
Kwa alama zote hizi CCM itabaki madarakani miaka mingi sana ijayo, Long live CCM
 
mafanikio sekta ya afya:
mafanikio ya nchi yanapimwa kimataifa na hivi sasa kigezo kikubwa cha kupima maendeleo ya nchi ni malengo ya millennia.
tanzania ni mojawapo ya nchi duniani ambayo ilitekeleza huduma za afya ya msingi kwa mafanikio makubwa sana baada ya uhuru, hii ni kauli ya rais wa baraza kuu la 65 la un mwaka 2011 bw. Joseph deiss alisema tanzania ni nchi ya kupigiwa mfano barani afrika.
miongoni mwa mafanikio kwenye sekta ya afya ni:
- huduma za afya zimesogezwa karibu wananchi.
- utoaji wa chanjo za kuzuia magonjwa mbalimbali bure na chanjo kuhusu mama na mtoto.
- kupunguza vifo vya watoto chini ya miaka 5.
- huduma ya kinga ya maambukizi ya ukimwi toka kwa mama mjamzito kwenda kwa mtoto.
- kupunguza vifo vitokanavyo na uzazi.
- kupunguza malaria kwa kugawa vyandarua vyenye dawa.
- kupunguza magonjwa yanayosababishwa na maji, magonjwa hayo ni pamoja na kipindupindu na homa ya matumbo.
- %86 miongoni mwa kaya maskini walitumia huduma za vituo vya afya vya serikali
- utoaji wa dawa za kupunguza makali ya ukimwi bure.
- utoaji wa tiba ya kifua kikuu na ukoma bure.
- kutokomeza magonjwa mbalimbali ambayo hapo awali yalikuwa ni kero.
- kuongeza ajira kwenye sekta ya afya.
- kujenga miondombinu ya afya.
- hospitali ocean roard imetangazwa na na tume ya nyuklia duniani kuwa ni mfano hospitali bora ya tiba ya kansa barani afrika.
- imeanzishwa tiba ya moyo nchini, kuna operesheni za moyo zaidi ya 400 zimefanyika kwa mafanikio ndani kipindi cha miaka 3 hivi sasa.

kinachowafanya viongozi wenu wakafie ughaibuni ni nini ?
 
Mafanikio ya sekta ya kazi na ajira Tanzania.
Kwenye sekta hii pamoja malalamiko ya ukosefu wa ajira lakini kuna hatua kubwa ya maendeleo iliyofikiwa na hasa ukizingatia kuwa hakuna sehemu yoyote duniani usiyosikia kelele hizi hata kwa hao mataifa makubwa kelele hizi nipo, lakini pia majirani zetu wanakimbila Tanzania kufatuta ajira kwa kuamini kuna nafuu ya kupata ajira jambo ambalo ni kweli.
Kwa mujibu wa takwimu za shirika la kazi duniani ILO na shirika la UNDP
Ugiriki matatizo ya ajira ni 92%
Spain matatizo ya ajira ni 55%
Italia matatizo ya ajira ni 38%
S.Afica matatizo ya ajira ni 40%
Kenya matatizo ya ajira ni 40%
Baadhi ya mafanikio ni kama yafuatayo:
- Vijana waoajiriwa ni 9,056,217 sawa na %80.6 ya vijana nguvu kazi yote ya vijana waliostahili kuajiriwa kwenye sekta rasmi na isiyo rasmi.
- Katika 2011/2012 jumla ya ajira 250,678 zilipatikana
- Katika mwaka 2013 inatarajiwa kutengenezwa ajira 800,000 kutokana na miradi ya TASAF, Ujenzi na barabara, maeneo ya uwekezaji (TIC), mamlaka ya ukanda wa uchumi(EPZA), kilimo, mawasiliano, viwanda, elimu, nishati, afya na utumishi kuu n.k.
- Fidia kwa watumishi wa umma baada ya kuumia kazini mwaka wa fedha uliokwisha jumla ya watumishi 176 walilipwa shilingi 19,999,000 kama fidia
- Vita dhidi ya ajira kwa watoto na mazingira hatarishi kazini, jumla ya watoto 22,243 wametolewa katika utumikishwaji na kupatiwa mafunzo ya fani mbalimbali ikiwemo elimu ya msingi watotot 8,402 elimu ya MEMKWA watoto 1,428 na elimu ya ufundi watoto 12,413
- Kuimarisha taarifa za ajira, ujasiliamali na utambuzi wa fursa za kujiajiri
- Ajira kwa wageni imedhibitiwa
 
Hopeless! Viongozi wangapi wamefia nje ya nchi miaka ya utawala wa jk wakitafuta matibabu? Kama huduma hizo hazipo hapa kuwahudumia waheshimiwa hao ni wangapi wasio jiweza wamekufa kwa maradhi hayo hayo?

Hivi unajua vifo vya watoto chini ya miaka mitano na akina mama wanaokufa wajawazito
Kumbe hata wakienda nje wanakufa pia?

 
1.Nitaikumbuka kwa kumtuma JAJI WAROBA akatafute rasimu ya katiba ambayo wanayo mfukoni.
"Rasimu ya katiba ya Jaji Warioba imejaa kugawana vyeo na madaraka haijaangalia uchumi" Mzee Kingunge
 
1.Nitaikumbuka kwa kumtuma JAJI WAROBA akatafute rasimu ya katiba ambayo wanayo mfukoni.
"Serikali ya Muungano katika serikali tatu itamiliki mabomu, mizinga, pingu, bunduki na magari ya maji ya washawasha haitakuwa na vyanzo vya mapato na haitakuwa na msingi imara na hatimaye muungano kuvunjika" Rais Kikwete
 
“Rasimu ya katiba ya Jaji Warioba imejaa kugawana vyeo na madaraka haijaangalia uchumi” Mzee Kingunge

Rasimu ya Jaji Warioba au ya katiba?na je ni rasimu ya tume ya warioba au tume ya raisi?
 
jibu lako ni la kijinga sijapata kuona !
Siyo ujinga ni mantiki tu. Viongozi hawawezi kufanana na watu wengine ndiyo maana leo Dodoma watu wanachukua posho Shs. laki 3 kwa siku, mbona Tundu Lissu na Mbowe hawajagomea? au nyie hamjaandamana?
 
“Rasimu ya katiba ya Jaji Warioba imejaa kugawana vyeo na madaraka haijaangalia uchumi” Mzee Kingunge

mtu mwenye zaidi ya miaka 100 kama kingunge bado unaamini aweza kufikiria vema ?
 
Back
Top Bottom