Babu Kijiwe
JF-Expert Member
- Mar 31, 2010
- 4,845
- 4,775
kuna hili pia , ujenzi wa nyumba bora hasa baada shirika la nyumba la taifa ( NHC ) Chini ya mchapakazi nehemia kuamua kwa dhati kuwajengea masikini nyumba bora .
Zimejengwa wapi?
kuna hili pia , ujenzi wa nyumba bora hasa baada shirika la nyumba la taifa ( NHC ) Chini ya mchapakazi nehemia kuamua kwa dhati kuwajengea masikini nyumba bora .
nimecheka sana !Ujasiri wao wa kuweza kumtorosha
mnyama mwenye shiingo ndefu kama Twiga bila kumuumza!
Heshima kwenu wakuu, naona muda unayoyoma na ile siku ya CCM kuwa chama kikuu cha upinzani inakaribia sana, ningependa kujua kuwa wewe kama mtanzania utaikumbuka CCM kwa jambo gani jema tangu ilipo ingia madarakani miongo kadhaa iliyopita? Mimi nitaikumbuka kwa kuwa na kauli mbiu nyingi na misemo mingi yenye mvuto wa pekee kuliko vyama vyote!
1. CCM mbele kwa mbele.
2. Maisha bora kwa kila mtanzania.
3. Kilimo kwanza (mapinduzi ya kijani).
4. Ari mpya, nguvu mpya na kasi mpya.
5. Goli la Mkono
6.nk
Pia nitaikumbuka kwa kuwa na nyimbo nzuri zenye mvuto kuliko chama chochote kile
1. Jogoo limewika
2. CCMX2, aaaaaaaaaa, chama cha mapinduzi CCM namba wani.
3. Wapinzani tuwaletee tuwachanechane tuwatupeeee
4.
5.
6. nk
Kama kuna kingine cha kuwakumbuka hawa jamaa unaweza kunikumbusha.
Kwaujenzi wa barabara
mnyonge mnyongeni, lakini haki yake mpeni. Ni usemi wa wahenga ambao chama cha mapinduzi (ccm) kinapenda kuutumia hususani pale wanapojitetea au kujihurumisha kwa wananchi.
Sasa ukiwa kama mtanzania na mzalendo.ccm wanapoondoka madarakani october 25 unalipi la kuwakumbuka kwa kipindi chote wamekuwa madarakani?
Funguka!
Kwa kuchaguliwa tena mwaka 2020Mnyonge mnyongeni, lakini haki yake mpeni. Ni usemi wa wahenga ambao Chama cha Mapinduzi (CCM) Kinapenda kuutumia hususani pale wanapojitetea au kujihurumisha kwa wananchi.
Sasa ukiwa kama mtanzania na mzalendo.CCM wanapoondoka madarakani October 25 unalipi la kuwakumbuka kwa kipindi chote wamekuwa madarakani?
Funguka!
Hakuna mazuri yaliyofanywa na CCM.