Lusungo
JF-Expert Member
- Jan 4, 2014
- 29,503
- 42,575
unadhani kwanini DR ULIMBOKA aliumizwa ?
Waulize viongozi wako wa ufipa kwanini walimtesa
unadhani kwanini DR ULIMBOKA aliumizwa ?
Nitaikumbuka kwa kuwaibia na kuwatesa watanzania hadi wamekuwa masikini,wanyama pori,tanzanite zimeibiwa na hata hatujuwi nani anafanya mchezo huo kama si viongozi
Uongozi bora
Mungu nisaidie nisije kuikumbuka CCM, maana kila nikifiria hiki chama cha majambazi kilivyolibaka taifa letu huwa nasikitika sana.
CCM ina uwezo mkubwa sana wa kushikamana na kutetea mambo wanayoanzisha wao hata kama wanajua hayana uhalali. wana uwezo mkubwa wa kutoa dozi za vijembe na kubeza mawazo yote yanayotoka upinzani au wanaharakati wanaowapinga.
Kama lile la Ngorongoro kreta!!nimekupata mkuu
tutawakumbuka na kuwashukuru kwa kutuletea mfumuko wa bei
si kweli , ccm haina uwezo wowote wa kujenga hoja , inalindwa na madaraka tu .
Hamna swala la kuikumbuka, historia ndio zinakumbukwa mambo yaliyopita.
CCM itaingia tena madarakani kwa kishindo mwaka 2015 sasa tuikumbukie nini wakati itakuwa inaendelea?
Jamani nyie mkoje? Mie nimechoka kusema mabaya ya CCM. Sasa naanza mema. Nitaikumbuka sana CCM kwa burudani zake nyingi na jinsi ilivyokuwa inawakuna makada wake kwa mtiririko wa mauno. We acha tuu!
View attachment 148416
View attachment 148417
View attachment 148418
View attachment 148419
Funga kazi ni kama hapa ambapo mkulu naye anapewa mauno ya kufa mtu mpaka akiingoa ndani badala ya kusoma hotuba ya kikao che NEC anajikuta anasoma hotuba ya uzinduzi wa daraja la Malagalasi. Cheza na kiduku wewe!
View attachment 148420
Sent from my iPad using JamiiForums
Hamna swala la kuikumbuka, historia ndio zinakumbukwa mambo yaliyopita.
CCM itaingia tena madarakani kwa kishindo mwaka 2015 sasa tuikumbukie nini wakati itakuwa inaendelea?