Utaikumbuka CCM kwa lipi baada ya 2015?

Utaikumbuka CCM kwa lipi baada ya 2015?

nguruwe pita sina mkuki mie wewe haramu kwangu...hebu tupe mrejesho wa maandishi mekundu una maana gani,ndo kipimo cha akili yako kilipofikishwa na mumeo ccm hata takwimu zako ni za kimagumashi kama mlivyozoea.huo umeme wa kimagumashi umewasaidia kina nani zaidi ya mkulu na koo zake za kifalme,mademu ma washikaji zeke!.ndo sababu tunasema nyie ni majanga matokeo ya misukule (ghost) ndani ya ccm.kwa upumbavu uliuojaliwa na ccm hakika ugonjwa ulionao hautaweza kupona afadhali yako kuu ni mauti.kwa miaka yangu 5 ya uhandisi sijawahi kusikia neno mega wait (megawatt).


ha! Ha! Ha! Ha!
 
Nguruwe pita sina mkuki mie wewe haramu kwangu...hebu tupe mrejesho wa maandishi mekundu una maana gani,ndo kipimo cha akili yako kilipofikishwa na mumeo CCM hata takwimu zako ni za kimagumashi kama mlivyozoea.Huo umeme wa kimagumashi umewasaidia kina nani zaidi ya mkulu na koo zake za kifalme,mademu ma washikaji zeke!.ndo sababu tunasema nyie ni majanga matokeo ya misukule (ghost) ndani ya CCM.Kwa upumbavu uliuojaliwa na CCM hakika ugonjwa ulionao hautaweza kupona afadhali yako kuu ni mauti.Kwa miaka yangu 5 ya uhandisi sijawahi kusikia neno mega wait (MegaWatt).
Mbunge wa Arumeru Mashariki, Joshua Nassari ameishukru serikali ya Tanzania kwa kuanza kupeleka umeme vijijini hasa Jimboni mwake. Ametoa shukurani hizo bungeni kwenye kipindi cha maswali na majibu tarehe 17 Desemba 2013
 
Binafsi nitaikumbuka kwa kuwadanganya watu na kuwafanya mapoyoyo.
 
Heshima kwenu wakuu, naona muda unayoyoma na ile siku ya CCM kuwa chama kikuu cha upinzani inakaribia sana, ningependa kujua kuwa wewe kama mtanzania utaikumbuka CCM kwa jambo gani jema tangu ilipo ingia madarakani miongo kadhaa iliyopita? Mimi nitaikumbuka kwa kuwa na kauli mbiu nyingi na misemo mingi yenye mvuto wa pekee kuliko vyama vyote!

1. CCM mbele kwa mbele.
2. Maisha bora kwa kila mtanzania.
3. Kilimo kwanza (mapinduzi ya kijani).
4. Ari mpya, nguvu mpya na kasi mpya.
5. Goli la Mkono
6.nk
Pia nitaikumbuka kwa kuwa na nyimbo nzuri zenye mvuto kuliko chama chochote kile
1. Jogoo limewika
2. CCMX2, aaaaaaaaaa, chama cha mapinduzi CCM namba wani.
3. Wapinzani tuwaletee tuwachanechane tuwatupeeee
4.
5.
6. nk
Kama kuna kingine cha kuwakumbuka hawa jamaa unaweza kunikumbusha.
 
Ntaikumbuka ccm kwa kutupatia rais kwa mara ya kwanza 2015.
 
Ntaikumbuka kwa kutupatia wezi na serikali legevu kama hii
 
Ntaikumbuka ccm kwa kutupatia rais kwa mara ya kwanza 2015.

kuna hili pia , ujenzi wa nyumba bora hasa baada shirika la nyumba la taifa ( NHC ) Chini ya mchapakazi nehemia kuamua kwa dhati kuwajengea masikini nyumba bora .
 

Attachments

  • 10413289_443379535821384_8736472890136950428_n.jpeg
    10413289_443379535821384_8736472890136950428_n.jpeg
    7.8 KB · Views: 131
  • attachment-6.jpeg
    attachment-6.jpeg
    12.4 KB · Views: 137
  • attachment-13.jpeg
    attachment-13.jpeg
    11.6 KB · Views: 133
  • attachment-1.jpeg
    attachment-1.jpeg
    8.4 KB · Views: 131
Bhahahahaaaaaa, Kweli CCM iko vzr sana! Goli la mkono noma sana!:whip:
 
Back
Top Bottom