Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 141,421
- 283,665
Uko sahihi. Itarudi madarakani baada ya miaka 50 ya utawala wake kujenga shule kama hizi hapa chini. Kwa hiyo ndani ya 50 mingine waongeze kama hizi. Au sio mkuu?
View attachment 148421
View attachment 148422
View attachment 148424
Sent from my iPad using JamiiForums
eee bhana eeee ! Haya majanga yako NCHI HII ? DAH ! KWELI CCM NI ZAIDI YA SHETANI ! HIVI HAWA WATOTO WAO WANAORITHISHWA UONGOZI WALISOMEA HUMU ?