Nguva Jike
JF-Expert Member
- Jan 22, 2018
- 853
- 1,005
Habari zenu! Naipa serikali siri hii ili iwasaidie.Baaadhi ya Madereva wakongwe serikalini hawawapendi madereva wapya yaani underground drivers.
Wanachowafanyia ni ubaya wanalegeza pipe za breki zinamwaga mafuta kidogo kidogo hatimae ajali za kukosa breki zinaleta madhara.
Madereva vijana kuweni zaidi ya makini kuepuka ajali za kusababishiwa na wabaya.Kagua gari sehemu muhimu kabla ya safari tulinde watimishi wetu wasio na hatia
Wanachowafanyia ni ubaya wanalegeza pipe za breki zinamwaga mafuta kidogo kidogo hatimae ajali za kukosa breki zinaleta madhara.
Madereva vijana kuweni zaidi ya makini kuepuka ajali za kusababishiwa na wabaya.Kagua gari sehemu muhimu kabla ya safari tulinde watimishi wetu wasio na hatia