Master Legendary
JF-Expert Member
- Apr 28, 2013
- 550
- 786
Nimesikia Meneja wa MSD kafariki kwa ajali leo nimeumia sana, ila nimeangalia picha ya ajali ni kama Dereva alimhamishia ajali upande wake kujiokoa yeye madereva watanielewa.
Ila kinachonikera kila siku nawafuatilia hawa Madereva wa Serikali wanavyoendesha bila kufuata uataratibu na Sheria za Barabarani, yani wamejisahau wana viburi na dharau wanaona hizi Sheria haziwahusu kabisa,na kibaya Matrafiki wanawaona na wanawachekelea tu sijui kwasababu wakiwakamata hawapati chochote au wanawaogopa tu kwavile wanadhani wamebeba Mabosi.
Ni kawaida sasa kupita kwenye taa nyekundu,kupita kwenye Maeneo yasiyoruhusiwa,kuoverspeed kwenye speedlimit,kuovertake pasiporuhusiwa na Matrafiki wanawaona hawachukui hatua zozote.
Hii imefikia stage mbaya kiasi Madereva hawa hawaoni kama sheria za Barabarani zinawahusu kiasi cha kusababisha ajali,ulemavu na vifo kwa wasio na hatia.
Niwakumbushe tu Matrafiki Sheria ni Msumeno,hili mnalotengeneza ni bomu hamjui litamkuta nani kuna siku watasababisha ajali itakayopoteza Familia yako ndiyo mtaona Uchungu.
Wenzenu wanapozika na kuuguza endeleeni kujiona tu hamhusiki
Ni tahadhari tu kabla ya jahazi kuzama.
Ila kinachonikera kila siku nawafuatilia hawa Madereva wa Serikali wanavyoendesha bila kufuata uataratibu na Sheria za Barabarani, yani wamejisahau wana viburi na dharau wanaona hizi Sheria haziwahusu kabisa,na kibaya Matrafiki wanawaona na wanawachekelea tu sijui kwasababu wakiwakamata hawapati chochote au wanawaogopa tu kwavile wanadhani wamebeba Mabosi.
Ni kawaida sasa kupita kwenye taa nyekundu,kupita kwenye Maeneo yasiyoruhusiwa,kuoverspeed kwenye speedlimit,kuovertake pasiporuhusiwa na Matrafiki wanawaona hawachukui hatua zozote.
Hii imefikia stage mbaya kiasi Madereva hawa hawaoni kama sheria za Barabarani zinawahusu kiasi cha kusababisha ajali,ulemavu na vifo kwa wasio na hatia.
Niwakumbushe tu Matrafiki Sheria ni Msumeno,hili mnalotengeneza ni bomu hamjui litamkuta nani kuna siku watasababisha ajali itakayopoteza Familia yako ndiyo mtaona Uchungu.
Wenzenu wanapozika na kuuguza endeleeni kujiona tu hamhusiki
Ni tahadhari tu kabla ya jahazi kuzama.