Madame S
JF-Expert Member
- Mar 4, 2015
- 17,190
- 34,526
Mhh ipi babuNimegundua muda si mrefu umeitoa siri yetu...
Mhh ipi babuNimegundua muda si mrefu umeitoa siri yetu...
Ya kukufungulia account JFMhh ipi babu
Ninazo Id nyingi mkuu hata hii ni ya kwanguSio wewe na id yake naifaham.
Nimegundua umekuwa mtu wa kwanza kureplyNimegundua ulichoandika kina ukweli ndani yake
Hahaha s kweliYa kukufungulia account JF
Nipe tuzo hahaNimegundua umekuwa mtu wa kwanza kureply
JF watu wanatumia kwa siri ili asijulikane huko nje.HIvi wanaotumiaga JF ni wakina nani mana sijawah kutana hata bahat mbaya mtu anatumia JF sehem yoyote. mfano fb au whatsap au ista watu unaeza kutana nao wakiitumia
Ana id moja tu japo alisema angefungua nyingine
Ni mimi kweli na nimeshafungua nyingine tayari.!Ana id moja tu japo alisema angefungua nyingine
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Nshatongozaga mchuchu mmoja... kuja kustuka ni mfanya usafi ofisini kwetu wakati alinidanganya yeye ni mwalimu Agha Khan.... shetani aliniokoa kwa kumwomba namba yake. Ile najaribu kuipiga mara likatokea jina lake... kumamae walahi
Mhh kabla sjakuja huko ntajie heruf ya mwanzo ya jina lakoNi mimi kweli na nimeshafungua nyingine tayari.!
Njoo Pm nikwambie kitu
Sent using Jamii Forums mobile app
Leo wikiend J3 wakati wa kazi nitakupaNipe tuzo haha
Mimi nimefanya utafiti nimegundua mama sabrina anatumia samsung tablet kuingia JfWee nani alisema hapendi pesa,,,mengine yote umesema kweli kabisaa,umewasahau na wale wanaoandika post za wema waonekane watu wazuri kumbe nyoka
Sent using Jamii Forums mobile app
Ahahahahahah ,kingine nimefanya utafiti nikajua jina lako linaanza na G kama mme wanguMimi nimefanya utafiti nimegundua mama sabrina anatumia samsung tablet kuingia Jf
Sent using Jamii Forums mobile app
InshaallahLeo wikiend J3 wakati wa kazi nitakupa
Nimepatia lakini huo utafiti wangu??Ahahahahahah ,kingine nimefanya utafiti nikajua jina lako linaanza na G kama mme wangu
Sent using Jamii Forums mobile app