harder king
JF-Expert Member
- Jan 21, 2017
- 3,970
- 6,918
Mbona hizo asilimia zinazidi miaUkichunguza kwa makin 70% ya member wako against serikali yetu,
30% ya member wandered kuwa jinsia ya kike ,kumbe madume,
50% ,Wanapretend ni diasporas kumbe wako kwa mtogole
80% ya member upretend wana informers vitengo nyeti kama ikulu na TISS
20% ndo verified users
10% ni maskini hawana majumba na gari, ila 90% uandika story za kupretend maisha powa,
60% wanasema wana elimu ya chuo kikuu kumbe wengine wako sekondari
15% wana akaunt zaid ya moja uanzisha uzi na kujijibu
60% ya wanaume MMU husema wanapiga show ya kibabe kitandani,
50% ya wasichana husema hawapendi hela sana kwenye mapenzi
20% wanasema walitendwa na mabwana zao,
75% ya wanaume MMU hujifanya hawaumizwi na mapenzi kumbe ujasiri ni wa kwenye JF tu haha yeah
Je we umegundua nini??
[emoji2][emoji2] wenye mahesabu yenu mmekujaMbona hizo asilimia zinazidi mia
Ma baba wenye watoto hatujagi humu! kufanya mambo ya kitoto!baba na binti wanafatana kwenye PM na kupeana namba za simu!
Nakumbuka 2016 nikiwa kwenye mwendo kasi Magomeni Dar nilimuona mdau anaperuzi JfHIvi wanaotumiaga JF ni wakina nani mana sijawah kutana hata bahat mbaya mtu anatumia JF sehem yoyote. mfano fb au whatsap au ista watu unaeza kutana nao wakiitumia
HIvi wanaotumiaga JF ni wakina nani mana sijawah kutana hata bahat mbaya mtu anatumia JF sehem yoyote. mfano fb au whatsap au ista watu unaeza kutana nao wakiitumia
Zinazidi kwa sababu mtu mmoja anaweza kuwa na sifa za makundi matatu aliyoyatajaMimi nilichogundua hapo mkuu hizo asilimia zimezidi
Zinazidi kwa sababu mtu mmoja anaweza kuwa na sifa za makundi matatu au mawili katika makundi hayo aliyoyajaMbona hizo asilimia zinazidi mia