Utafiti wangu juu ya Wanachama wa JF

Utafiti wangu juu ya Wanachama wa JF

Nimegundua Mama Sabrina ni bikra. Huyu Sabrina alijifungua kwa operesheni... mimba aliipatia swimming pool baada ya libazazi limoja kupiga punyeto kwenye maji
Hehehe hatari
 
HIvi wanaotumiaga JF ni wakina nani mana sijawah kutana hata bahat mbaya mtu anatumia JF sehem yoyote. mfano fb au whatsap au ista watu unaeza kutana nao wakiitumia
Ni watu wasiojulikana.
 
Nshatongozaga mchuchu mmoja... kuja kustuka ni mfanya usafi ofisini kwetu wakati alinidanganya yeye ni mwalimu Agha Khan.... shetani aliniokoa kwa kumwomba namba yake. Ile najaribu kuipiga mara likatokea jina lake... kumamae walahi
miminafanyausafiakachekasana
 
Kitu ninachohisi humu kuna TISS wengi mno na wana id nyingi mno.
 
Kingine nimegundua Jf lazima kila maada ichangiwe hata kama haina lolote la maana.
 
HIvi wanaotumiaga JF ni wakina nani mana sijawah kutana hata bahat mbaya mtu anatumia JF sehem yoyote. mfano fb au whatsap au ista watu unaeza kutana nao wakiitumia

Huwez kuta mtu anatumia hii kutokana na mambo ya huku yalivyo amsha amsha ukiwa ndo ww unae mtukana mkuru

Sent using Jamii Forums mobile app
 
uliijuaje jf?? Me kuna mtu alikua akinieleza vimbwanga vya hum sometimes ananionesha tunacheka na comments za watu had siku moja nikaomba anifungulie id na mm na kunielekeza namna ya kuitumia,since then nimepata marafiki wengi ambao tunafahamiana nje ya jf and a man of my life.

Hata me nimeshawishiwa na mtu kuingia huku #lemdada

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom