Utafiti wangu juu ya Wanachama wa JF

Utafiti wangu juu ya Wanachama wa JF

Nathan Jr

JF-Expert Member
Joined
Sep 14, 2017
Posts
1,445
Reaction score
1,891
Ukichunguza kwa makin 70% ya member wako against serikali yetu,

30% ya member wandered kuwa jinsia ya kike ,kumbe madume,

50% ,Wanapretend ni diasporas kumbe wako kwa mtogole

80% ya member upretend wana informers vitengo nyeti kama ikulu na TISS

20% ndo verified users

10% ni maskini hawana majumba na gari, ila 90% uandika story za kupretend maisha powa,

60% wanasema wana elimu ya chuo kikuu kumbe wengine wako sekondari

15% wana akaunt zaid ya moja uanzisha uzi na kujijibu

60% ya wanaume MMU husema wanapiga show ya kibabe kitandani,

50% ya wasichana husema hawapendi hela sana kwenye mapenzi

20% wanasema walitendwa na mabwana zao,

75% ya wanaume MMU hujifanya hawaumizwi na mapenzi kumbe ujasiri ni wa kwenye JF tu haha yeah


Je we umegundua nini??
 
HIvi wanaotumiaga JF ni wakina nani mana sijawah kutana hata bahat mbaya mtu anatumia JF sehem yoyote. mfano fb au whatsap au ista watu unaeza kutana nao wakiitumia
uliijuaje jf?? Me kuna mtu alikua akinieleza vimbwanga vya hum sometimes ananionesha tunacheka na comments za watu had siku moja nikaomba anifungulie id na mm na kunielekeza namna ya kuitumia,since then nimepata marafiki wengi ambao tunafahamiana nje ya jf and a man of my life.
 
uliijuaje jf?? Me kuna mtu alikua akinieleza vimbwanga vya hum sometimes ananionesha tunacheka na comments za watu had siku moja nikaomba anifungulie id na mm na kunielekeza namna ya kuitumia,since then nimepata marafiki wengi ambao tunafahamiana nje ya jf and a man of my life.
Kumbe we ni ndo nimekufungulia akaunt?? Password ulibadili kama nilivyokuelekeza?
 
uliijuaje jf?? Me kuna mtu alikua akinieleza vimbwanga vya hum sometimes ananionesha tunacheka na comments za watu had siku moja nikaomba anifungulie id na mm na kunielekeza namna ya kuitumia,since then nimepata marafiki wengi ambao tunafahamiana nje ya jf and a man of my life.
Nimegundua muda si mrefu umeitoa siri yetu...
 
Ukichunguza kwa makin 70% ya member wako against serikali yetu,

30% ya member wandered kuwa jinsia ya kike ,kumbe madume,

50% ,Wanapretend ni diasporas kumbe wako kwa mtogole

80% ya member upretend wana informers vitengo nyeti kama ikulu na TISS

20% ndo verified users

10% ni maskini hawana majumba na gari, ila 90% uandika story za kupretend maisha powa,

60% wanasema wana elimu ya chuo kikuu kumbe wengine wako sekondari

15% wana akaunt zaid ya moja uanzisha uzi na kujijibu

60% ya wanaume MMU husema wanapiga show ya kibabe kitandani,

50% ya wasichana husema hawapendi hela sana kwenye mapenzi

20% wanasema walitendwa na mabwana zao,

75% ya wanaume MMU hujifanya hawaumizwi na mapenzi kumbe ujasiri ni wa kwenye JF tu haha yeah


Je we umegundua nini??
Nimegundua kuwa 99.9% ni Watanzania.
 
Unakuta ni jirani yako au baba mwenye nyumba yako alafu anajifanya demu ndani ya jf
Nshatongozaga mchuchu mmoja... kuja kustuka ni mfanya usafi ofisini kwetu wakati alinidanganya yeye ni mwalimu Agha Khan.... shetani aliniokoa kwa kumwomba namba yake. Ile najaribu kuipiga mara likatokea jina lake... kumamae walahi
 
HIvi wanaotumiaga JF ni wakina nani mana sijawah kutana hata bahat mbaya mtu anatumia JF sehem yoyote. mfano fb au whatsap au ista watu unaeza kutana nao wakiitumia
JF ni secret society kama "Freemasons"
Yaani ukiwa member wa humu ID yako ni siri yako huwezi hata kumwambia mkeo/mpenzi
Ndio maana itabaki kuwa siri baba na binti wanafatana kwenye PM na kupeana namba za simu!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom