Utafiti uliofanywa na Taasisi ya Tanzania Citizen's Information Bureau (TCIB) na kutolewa leo umeonyesha Dk Slaa anaongoza kwa asilimia 45, JK asilimia 41,Prof. Lipumba asilimia 10, Hashim Rungwe 2, Peter Mziray 1 na Mutamwega 1.
Utafiti huu umefanyika kwenye mikoa 15 iliyochaguliwa kwa njia ya kinasibu (random sampling ) na kwenye jimbo moja katika kila mkoa wananchi kati ya 60 na 100 walihojiwa. Utafiti umefanywa ndani ya mwezi huu na kutolewa leo Jijini Dar es Salaam.
mnajua kuwa Halima mdee ambaye ni mbunge wa Chadema ni muasisi wa Taasisi hii? iko Mikocheni.imeundwa mwaka jana.hivyo basi kuna Conflict of Interest. Halima ametumia Influence yake kumjenga kisiasa Bosi wake.mimi siamini matokeo haya.
Last edited by a moderator: