hasason
JF-Expert Member
- Sep 19, 2012
- 1,648
- 1,543
Hivi unavyosema utafiti unaonesha hiyo mikoa hasa Arusha na Moshi ndio inakiwango cha juu kwanza unaelewa maana ya utafiti Mr??? na gharama za kufanya utafiti na kupata data sahihi za kusema maeneo hayo ndiyo yanayoongoza lazima ufanye utafii nchi nzima then ufanye comparison baina ya maeneo yenye viwango vikubwa na vidogo.Na mikoa ya Tanga na Dodoma, jingine limenishingaza ni mikoa Kama Arusha, Moshi na Mwanza. Ina kiwango cha kutisha cha vitendo hivi.
Je huo utafiti umeufanya lini na kwa njia gani na riport yake iko wapi???
sio unakaa na simu yako hapo sebuleni na kuperuzi social networks kwa bando ya jero alafu unasema eti utafiti unaonesha!! hizo ni assumptions zako tu.
Hili ni swala la aibu sana so unapotolea maamuzi uwe makini sana
sasa unavyopotosha watu na kusema Arusha na Moshi inaongoza inawezekana umeangalia kwenye facebook na ujue maeneo yenye watumiaji wa internet ni mijini na ni maeneo yaliyoendelea na issue kama hii haijalishi kuhusu hilo sana sababu sio mashg wote wana access na mitandao au kujitangaza.
sasa weweunapokuja kutuletea pumba zako hapa na kudai eti mikoa ya Arusha na Moshi ndio inaongoza kwa huu ushetani nakushangaa sana sababu me ni mwenyeji wa haya maeneo na sema kweli ushg nausikia sikia lakini sio kama hayo maeneo yaliyozungukwa na bahari na sio kama huko Dar kwenye magroup kabisa yanayofahamika na nyie mnayatazama tu ingekuwa ni Arusha hatua za kivitendo zingekuwa zimechukuliwa kitambo.