Utafiti: Taifa linaangamia na Ushoga ( Picha )

Utafiti: Taifa linaangamia na Ushoga ( Picha )

magomeni...ilala...nenda jakaranda.....uhuru peak.....kwa ashura macheni.........dah mashogaaaaa wamejaaaa
 
Haya yote ni matumizi mabaya ya social networks watu wanatandua utandawazi

Inavyoonekana hawa watoto mitaani mwao wapo mashoga ambao ni wakubwa wamewavutia na kuwafanya wajiingize kwenye vitendo hivi.
 
Inasikitisha sana, na hii mitandao ya kijamii inachangia sana haya masuala kukua kwa kasi

Wilaya ya Kinondoni hasa Mwananyamala, Vijana karibu na zile bar za Jacaranda ndiyo inaonekana kundi kubwa la watoto linaangamia.
 
Wilaya ya Kinondoni hasa Mwananyamala, Vijana karibu na zile bar za Jacaranda ndiyo inaonekana kundi kubwa la watoto linaangamia.

Hivi kwa nini wasiangamizwe wote tu hawa?

Kadri wanavyozidi kuwepo na hatari ya wengine kuingia huko inaongezeka
 
Magomeni, ndo makao yao makuu ki taifa.

Tokomeza magomeni
Okoa Taifa

Na mikoa ya Tanga na Dodoma, jingine limenishingaza ni mikoa Kama Arusha, Moshi na Mwanza. Ina kiwango cha kutisha cha vitendo hivi.
 
Huyo jamaa mim nina wasiwasi nae, picha kama zile haziwezi kuwa za kawaida hata kidogo

Amenishangaza Sana... Tena amepiga Dogo ambae anaweza kuwa mdogo wake au mtoto wake kabisa. Daaaah!!.
 
Serikali pamoja na wananchi wema ambao tunakerwa na hii tabia tuanze mikakati kabambe ya kutokomeza hili tatizo kabla mambo hayajakua mabaya zaidi, tuache kuzungumzia hii tabia kisiasa
 
Hivi kwa nini wasiangamizwe wote tu hawa?

Kadri wanavyozidi kuwepo na hatari ya wengine kuingia huko inaongezeka

Kweli kuna mambo yanapigiwaga kelele na kupigwa Sana vita hili limeachwa. Ushoga huu unaofanywa na watoto wadogo ni kuua Taifa la mbeleni.. Mkuu hii ni hatari kuliko DENGUE. Kama watoto wameanza kubadilika hivi maana yake hizi kelele za kuijenga Tanzania ya baadae. Kizazi chake kitakuwaje??
 
Tatizo ni wateja wao pia! Siku moja nilikaa ktk bar moja kwa starehe zangu mara dogo kaja na tabia za kike anaomba nitoke nae tena anasema kabisa kazidiwa anahitaji mwanaume! nilimshushia kibano siyo kidogo akakimbia na mabaunsa wa pale wamesema hajawahi kurudi tena! wanaume tuliokamilika tungewafungia vioo wangeacha tuuuuuu
 
Kuna mambo yanafanyika hasa wakati wa usiku ukiyaona unaweza ukatetemeka mwili mzima na kuhofu kama Mungu ataruhusu tena jua lake lichomoze next morning, au atashusha gharika kama la Sodoma na Gomora.
Hayo aliyopost mleta mada ni madooogooo saaana.
Taifa linahitaji maombi.
 
INATISHA XANA
Huku kwetu kunajamaa kichefuchefu
kaz yake ni ubaamade
Huyu jamaa Daaaaa..!!!!
HAKIKA MUNGU ATUSAIDIE XANA
 
kuna siku tumebishana sana huku jf kuhusu haya mayatizo kwenye uzi wa tpaul..watu wakawa wanabisha bisha tu..tukasema hii inaanzia kwenye mavazi vijana wa kiume kuvaa mavazi ya kike..
 
Back
Top Bottom