ndenga
JF-Expert Member
- Dec 20, 2010
- 1,895
- 1,578
Maombi yangu kwa Mods wa hii forums..naomba post zozote zenye ujumbe wowote unaohusu ushoga uwe unaondolewa kwenye hili jukwaa.. wengine wamekuwa wakipost as if wanalalamika kumbe wanatumia hiyo nafasi kutangaza ushoga.. njia pekee ni kudelete all information or post related to this kabla haijasomwa na wengi..ushauri wangu wa bure huo..