Sio sahihi kuhusisha Wanaume na Ushoga

Sio sahihi kuhusisha Wanaume na Ushoga

Mstahiki Mea

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2018
Posts
6,137
Reaction score
11,400
Ipo dhana potofu ya kuchafua wanaume na kusema kuwa kuna wanaume wanaokuwa mashoga na ushoga ni wanaume wanaoruhusu kuingiliwa

Ukweli ni kwamba hii sio sahihi na ni jambo ambalo nigumu kutokea au karibu kutowezekana kwa mwanaume kamili kuamka na kufikiria kuwa shoga.

Fanya utafiti uulize mwanaume yoyete kamili kama anaweza kuwa shoga kama hajakuvunja meno, uanaume ni ufahari na sio rahisi mtu kuukimbia ufahari.

Hivyo basi mashoga sio wanaume na hawajawahi kuwa wanaume. Mwanaume kamili kamwe hawezi kufikiria kuwa shoga hata kama ni mtoto mdogo.
 
Ipo dhana potofu ya kuchafua wanaume na kusema kuwa kuna wanaume wanaokuwa mashoga na ushoga ni wanaume wanaoruhusu kuingiliwa

Ukweli ni kwamba hii sio sahihi na ni jambo ambalo nigumu kutokea au karibu kutowezekana kwa mwanaume kamili kuamka na kufikiria kuwa shoga.

Fanya utafiti uulize mwanaume yoyete kamili kama anaweza kuwa shoga kama hajakuvunja meno, uanaume ni ufahari na sio rahisi mtu kuukimbia ufahari.

Hivyo basi mashoga sio wanaume na hawajawahi kuwa wanaume. Mwanaume kamili kamwe hawezi kufikiria kuwa shoga hata kama ni mtoto mdogo.
Wapo wanaokubali tena kirahisi sana

Unajaribu kutetea nini? Basi hujatembea,.... Toka huko Tukuyu Mwakareli, hamia Dar
 
Izi siku mbili kada ambayo haijaguswa ni walevi tu lakini kila mtu atafikiwa tema nyongo mkuu
 
Mwanume asili yake ni kuingilia sio kuingiliwa . Mtu anayekubali kuingiliwa either hakuwahi kabisa kuwa mwanaume na sio sahihi kumwita mwanaume
 
Anayekubali hawez kuwa mwanaume mwanaume ukimtajia hayo mambo lazima akuvunje meno wanaume huwa tuachukia sana hiyo hali
Sasa anayekubali, na bado ana uume na ana six pack na gym anaenda, huyo kwa upande wako unamuitaje kama umekataa kuhusu uwepo wa ushoga? Help me to understand
 
Wee jamaa jau kwel! Kuna majitu tunaishinayo mitaani na maofsini yanatengeneza mazingira uyatafune,je hao si wanaume ila fisi? Nyuma ya mwanaume kuwa shoga Kuna mambo mengi nyuma kubakwa akiwa mdogo sio sababu inayojitosheleza kwenye soko lao Hilo. Kuna sababu zisizoonekana pia kigezo Cha mtu kuwa na homoni nyingi za kike ndani yake hakina mantiki.
 
Wee jamaa jau kwel! Kuna majitu tunaishinayo mitaani na maofsini yanatengeneza mazingira uyatafune,je hao si wanaume ila fisi? Nyuma ya mwanaume kuwa shoga Kuna mambo mengi nyuma kubakwa akiwa mdogo sio sababu inayojitosheleza kwenye soko lao Hilo. Kuna sababu zisizoonekana pia kigezo Cha mtu kuwa na homoni nyingi za kike ndani yake hakina mantiki.
Mtu anayeruhusu kuingiliwa unaweza kumwita mwanaume?
 
Back
Top Bottom