Extrovert
JF-Expert Member
- Feb 29, 2016
- 67,601
- 175,845
Kuna zama zitafika itakuwa mke akiachika anaolewa dada wa kazi.My research wadada wa kazi ndio watakuja kutowa kizazi bora cha wife material maana wao ndio wanaohudumia waume za watu sasa hivi.