Mume na Mke Msipishane Sana Umri

Braza Kede

JF-Expert Member
Nov 1, 2012
1,716
3,365
Naona wengi hapa wanasifia kulelewa na mashangazi na maGodfather wa umri sawa na babazao.

Leo niwachane wazi tu kuwa kuna karaha nyingi kama mume na mke mmepishana pakubwa kiumri. Kero nyingi ni za utofauti kimtazamo. Yani fikilia wewe mubaba wa enzi za msondo unaoa kitoto cha hizi enzi za kina zuchu yani mitazamo yenu kwenye mambo mbalimbali ni sawa na mbingu na ardhi.

Ndoa inatakiwa kuwa ya raha badala ya karaha. Oa mtu ambaye hata kama mmepishana kiumri basi isiwe tofauti kubwa kiviiile.
 
Naona wengi hapa wanasifia kulelewa na mashangazi na maGodfather wa umri sawa na babazao.

Leo niwachane wazi tu kuwa kuna karaha nyingi kama mume na mke mmepishana pakubwa kiumri. Kero nyingi ni za utofauti kimtazamo. Yani fikilia wewe mubaba wa enzi za msondo unaoa kitoto cha hizi enzi za kina zuchu yani mitazamo yenu kwenye mambo mbalimbali ni sawa na mbingu na ardhi.

Ndoa inatakiwa kuwa ya raha badala ya karaha. Oa mtu ambaye hata kama mmepishana kiumri basi isiwe tofauti kubwa kiviiile.
Nakataaa 👎
 
Naona wengi hapa wanasifia kulelewa na mashangazi na maGodfather wa umri sawa na babazao.

Leo niwachane wazi tu kuwa kuna karaha nyingi kama mume na mke mmepishana pakubwa kiumri. Kero nyingi ni za utofauti kimtazamo. Yani fikilia wewe mubaba wa enzi za msondo unaoa kitoto cha hizi enzi za kina zuchu yani mitazamo yenu kwenye mambo mbalimbali ni sawa na mbingu na ardhi.

Ndoa inatakiwa kuwa ya raha badala ya karaha. Oa mtu ambaye hata kama mmepishana kiumri basi isiwe tofauti kubwa kiviiile.
Sio lazima
 
Mkipendana hata kama mmoja ana miaka 60 mwingine 20, lazima mtakua na furaha tu. Either mmoja arudi utoto kiakili kumfata wa miaka 20, au wa miaka 20 awe mzee kiakili kumfata wa miaka 60. Mahusiano haya ndo yananogaga sasa. Muhimu upendo wa kweli!!!!!
 
Sasa nyie hamjapisha umri mnapigwa na jua na kushindia makande!!! Hv mnapata faida gani??? SHIDA ZINAWAFANYA WOTE MUONEKANE WAZEE


Mimi na baby wangu tumepishana miaka 50 ila bata ni kila siku. RAHA ZINATUFANYA WOTE TUONEKANE VIJANA
 
Naona wengi hapa wanasifia kulelewa na mashangazi na maGodfather wa umri sawa na babazao.

Leo niwachane wazi tu kuwa kuna karaha nyingi kama mume na mke mmepishana pakubwa kiumri. Kero nyingi ni za utofauti kimtazamo. Yani fikilia wewe mubaba wa enzi za msondo unaoa kitoto cha hizi enzi za kina zuchu yani mitazamo yenu kwenye mambo mbalimbali ni sawa na mbingu na ardhi.

Ndoa inatakiwa kuwa ya raha badala ya karaha. Oa mtu ambaye hata kama mmepishana kiumri basi isiwe tofauti kubwa kiviiile.
Perfect combo
 
Back
Top Bottom