Kusafiri katika Muda: Leo Aug, 2072 wanasayansi wamebuni kifaa cha kusafiri katika muda

Melki the Storyteller

JF-Expert Member
May 3, 2022
5,701
9,779
Kusafiri katika Muda: Leo Aug, 2072 wanasayansi wamebuni kifaa cha kusafiri katika muda

Ibaki hivi hivi hadi Aug, 2072

Maono. Leo hii Aug 2072 shirika la kimarekani linalojihusisha na masuala ya anga, NASA limebuni kifaa chenye uwezo wa kusafirisha viumbe na vitu visivyo na uhai katika muda. Entrace ya kifaa hicho ni giza tupu (katika hali ya ukiwa), ambapo kama kiumbe kitapita lango hilo kwa kasi ya juu i.e kukimbia, kitasafiri kwenda mbele ya muda. Na kama kiumbe kitapita katika hole hilo kwa mwenda wa taratibu, kitasafiri kuelekea nyuma ya muda

"Ikitokea umesafiri nyuma ya muda ukafikia muda ambao tayari umekwisha zaliwa, uta-experience De javu hadi pale utakapofutika kwenye uwepo. Ikitokea umesafiri kwenda mbele ya muda ukafikia kipindi kabla ya kifo chako, napo utaexperience De javu mpaka pale kifo chako kitakapokukumba

Ukirudi nyuma kabla ya kuzaliwa kwako, utakwenda kuishi primitive life na hutokaa urudi tena kwenye dunia ya sasa. Hata hivyo ukisafiri kwenda mbele ya muda baada ya kifo chako, utaishi maisha ya kutokujitambua kuwa wewe ni nani na kwanini upo hapa na familia yako ni ipi mpaka pale umri wako wa kuishi utakapofidishwa

Linaandika gazeti la The New York Times la kimarekani Aug 24, 2072"

Turejee dunia ya sasa:
Wewe hapo unaishi leo hii Sept, 2023. Pia unaishi mwaka 2033 muda huu. Pia unaishi mwaka 2043 muda huu. Pia huenda unafariki dunia muda huu wa mwaka 2053. Wewe hapo unaishi mwaka 2000 wa utoto ama ujana wako. Kwa maana nyingine, nikisafiri katika muda hadi mwaka 2053 wa muda huu, huenda nikahudhuria mazishi yako

Maana nyingine iliyo rahisi, hakuna maisha yaliyopita, hakuna maisha yajayo, bali maisha yote yanafanyika sasa hivi. That's why energy is conserved, ni suala dogo tu la upeo wa macho

Mimi nimesafiri katika muda kupitia maono hadi 2072 na nimerejea tena kwenye point yangu halisi ya maisha. Kuna watu wanasafiri kwenye hicho kifaa (2072) kwenda miaka ya mbele zaidi. Na kuna watu wanarudi nyuma ya muda kwenda miaka ya 1600 na wanapokelewa vizuri tu huko japo kwa mshangao

Kusafiri katika muda kunaanza leo hii 2072 katika jiji la New York Marekani
 
Nimewahi Siti ya Mbele, Nitarudi August 11,2072 saa 10 Jioni kwa Saa za Afrika Mashariki kuona kama yametimia endapo nitaendelea kujaaliwa zawadi ya uhai.

Kuna wabishi watakuja kusema ni NDOTO ZA ALINACHA HIZI UMEANDIKA.
 
Nimewahi Siti ya Mbele, Nitarudi August 11,2072 saa 10 Jioni kwa Saa za Afrika Mashariki kuona kama yametimia endapo nitaendelea kujaaliwa zawadi ya uhai.

Kuna wabishi watakuja kusema ni NDOTO ZA ALINACHA HIZI UMEANDIKA.
Sasa kama tayari nimekwisha onja ladha ya kifo, huyo aliyenionjesha hilo ashindwe vipi kunipeleka mbele ya muda?
 
Kusafiri katika Muda: Leo Aug, 2072 wanasayansi wamebuni kifaa cha kusafiri katika muda

Ibaki hivi hivi hadi Aug, 2072

Maono. Leo hii Aug 2072 shirika la kimarekani linalojihusisha na masuala ya anga, NASA limebuni kifaa chenye uwezo wa kusafirisha viumbe na vitu visivyo na uhai katika muda. Entrace ya kifaa hicho ni giza tupu (katika hali ya ukiwa), ambapo kama kiumbe kitapita lango hilo kwa kasi ya juu i.e kukimbia, kitasafiri kwenda mbele ya muda. Na kama kiumbe kitapita katika hole hilo kwa mwenda wa taratibu, kitasafiri kuelekea nyuma ya muda

"Ikitokea umesafiri nyuma ya muda ukafikia muda ambao tayari umekwisha zaliwa, uta-experience De javu hadi pale utakapofutika kwenye uwepo. Ikitokea umesafiri kwenda mbele ya muda ukafikia kipindi kabla ya kifo chako, napo utaexperience De javu mpaka pale kifo chako kitakapokukumba

Ukirudi nyuma kabla ya kuzaliwa kwako, utakwenda kuishi primitive life na hutokaa urudi tena kwenye dunia ya sasa. Hata hivyo ukisafiri kwenda mbele ya muda baada ya kifo chako, utaishi maisha ya kutokujitambua kuwa wewe ni nani na kwanini upo hapa na familia yako ni ipi mpaka pale umri wako wa kuishi utakapofidishwa

Linaandika gazeti la The New York Times la kimarekani Aug 24, 2072"

Turejee dunia ya sasa:
Wewe hapo unaishi leo hii Sept, 2023. Pia unaishi mwaka 2033 muda huu. Pia unaishi mwaka 2043 muda huu. Pia huenda unafariki dunia muda huu wa mwaka 2053. Wewe hapo unaishi mwaka 2000 wa utoto ama ujana wako. Kwa maana nyingine, nikisafiri katika muda hadi mwaka 2053 wa muda huu, huenda nikahudhuria mazishi yako

Maana nyingine iliyo rahisi, hakuna maisha yaliyopita, hakuna maisha yajayo, bali maisha yote yanafanyika sasa hivi. That's why energy is conserved, ni suala dogo tu la upeo wa macho

Mimi nimesafiri katika muda kupitia maono hadi 2072 na nimerejea tena kwenye point yangu halisi ya maisha. Kuna watu wanasafiri kwenye hicho kifaa (2072) kwenda miaka ya mbele zaidi. Na kuna watu wanarudi nyuma ya muda kwenda miaka ya 1600 na wanapokelewa vizuri tu huko japo kwa mshangao

Kusafiri katika muda kunaanza leo hii 2072 katika jiji la New York Marekani
kusafiri katika muda hahahaha.....NASA wamekukamata akili.....kwikwikwi....NASA haiwezi kitegeneza dark energy ambayo n natural.....sema kingne mshikaji acha bangi za mchana mchana jipige kichwa ushtuke usingzini...eti kusafiri kwa muda uone mbele mwaka 2072 daah hizi banhi zenu na NASA lishaneni ujinga huu mpaka mshibe
 
Kusafiri katika Muda: Leo Aug, 2072 wanasayansi wamebuni kifaa cha kusafiri katika muda

Ibaki hivi hivi hadi Aug, 2072

Maono. Leo hii Aug 2072 shirika la kimarekani linalojihusisha na masuala ya anga, NASA limebuni kifaa chenye uwezo wa kusafirisha viumbe na vitu visivyo na uhai katika muda. Entrace ya kifaa hicho ni giza tupu (katika hali ya ukiwa), ambapo kama kiumbe kitapita lango hilo kwa kasi ya juu i.e kukimbia, kitasafiri kwenda mbele ya muda. Na kama kiumbe kitapita katika hole hilo kwa mwenda wa taratibu, kitasafiri kuelekea nyuma ya muda

"Ikitokea umesafiri nyuma ya muda ukafikia muda ambao tayari umekwisha zaliwa, uta-experience De javu hadi pale utakapofutika kwenye uwepo. Ikitokea umesafiri kwenda mbele ya muda ukafikia kipindi kabla ya kifo chako, napo utaexperience De javu mpaka pale kifo chako kitakapokukumba

Ukirudi nyuma kabla ya kuzaliwa kwako, utakwenda kuishi primitive life na hutokaa urudi tena kwenye dunia ya sasa. Hata hivyo ukisafiri kwenda mbele ya muda baada ya kifo chako, utaishi maisha ya kutokujitambua kuwa wewe ni nani na kwanini upo hapa na familia yako ni ipi mpaka pale umri wako wa kuishi utakapofidishwa

Linaandika gazeti la The New York Times la kimarekani Aug 24, 2072"

Turejee dunia ya sasa:
Wewe hapo unaishi leo hii Sept, 2023. Pia unaishi mwaka 2033 muda huu. Pia unaishi mwaka 2043 muda huu. Pia huenda unafariki dunia muda huu wa mwaka 2053. Wewe hapo unaishi mwaka 2000 wa utoto ama ujana wako. Kwa maana nyingine, nikisafiri katika muda hadi mwaka 2053 wa muda huu, huenda nikahudhuria mazishi yako

Maana nyingine iliyo rahisi, hakuna maisha yaliyopita, hakuna maisha yajayo, bali maisha yote yanafanyika sasa hivi. That's why energy is conserved, ni suala dogo tu la upeo wa macho

Mimi nimesafiri katika muda kupitia maono hadi 2072 na nimerejea tena kwenye point yangu halisi ya maisha. Kuna watu wanasafiri kwenye hicho kifaa (2072) kwenda miaka ya mbele zaidi. Na kuna watu wanarudi nyuma ya muda kwenda miaka ya 1600 na wanapokelewa vizuri tu huko japo kwa mshangao

Kusafiri katika muda kunaanza leo hii 2072 katika jiji la New York Marekani
Nasubiri ninywe uji wa muhogo na mihogo ya kuchemsha ili ubongo utulie nizielewe hizo hesabu za abracadabra, nitarudi baadae.
 
Back
Top Bottom