Utafiti mpya: Lowassa aongoza tena mbio za urais

Utafiti mpya: Lowassa aongoza tena mbio za urais

hawezi kuwa rais huyo. anajidanganya fisadi mkubwa huyo. ikulu sio hodi ya maisela kulaza wagonjwa. 2015 rais anatakiwa awe mwanamke na msomi nzaidi

Umeona hee hatutaki yatukute kama ya zambia kuchagua kiongozi alafu muda mfupi afie madarakani jamani huyu Baba ni mgonjwa kweli anatetemeka mwenyewe hata kushika vizuri kijiko hawezi anakusalimia huku akiwa anatetemeka , kusimama kwa muda mrefu hawezi na pia aoni vizuri sasa huyo ni kiongozi wa namna gani labda akawe rais wa monduli lakini si kwa JMT.
 
JF sio sehemu ya kupata kura sahihi ya maoni, sbb ni ya UKAWA....jua hilo...!!!

Hizi zipo hapa hapa JF.
UCHAGUZI WA URAIS UKIITISHWA LEO, NANI ATASHINDA??

Matokeo mpaka Leo.

Edward Lowasa.
Array
36 =12.95%

Wilblod Slaa.
Array
236 =84.89%

Mizengo Pinda
Array
05 =1.80%

Samwel Sitta
Array
01 =0.36%

VOTTERS ;- 278.
 
Mimi siyo CCM and I hate CCM by heart ............................... lakini ukweli ni huo. Jamaa kawaweka kwenye kona, tunahesabu tu seconds ......................... lazima itakuwa ni KO!! Ndiyo maana unafura!! Hakuna mahali niliposema kuwa Lowasa atakuwa Rais................... You Idiot!!

Msamehe manake naye huyo ana tezi dume
 
Lowasa mwenyewe mgonjwa hata June yenyewe sinahakika Kama atafika. 2.angeweza kutuongoza lkn sifa hizi tatu zinamtoa kwenye sifa ya kuongoza Nchi , 1.FISADI NA MZULUMAJI (kaulize familia ya sokoine) 2.Maumivu, uchungu na kisasi alichonacho moyoni.3 Ameshaahidi watuwengi sana kuwapa nyadhifa na pesazake zimewapofusha wengi macho hawajui hata wanachokifanya,lowasa hawezikuvuka uzi wa Mwalimu hajabadilika bado.

NImeisikia hiyo ANDREW CHENGE ndiye atakuwa waziri mkuu wake huku PETER SERUKAMBA akiwa wari wa mambo ya nje,Mzee CHIZII amehaidiwa ubunge wa kuteuliwa na kuwa waziri wa sera ,uratibu na mipango,SOPHIA SIMBA amehaidiwa kuwa waziri wa TAMISEMI huku MAKONGORO MAHANGA kuwa waziri wa ardhi,nyumba na makazi,KAPTENI JOHN KOMBA akihaidiwa kuwa waziri wa vijana,utamaduni na michezo huku ROSTAM AZIZ akiahaidiwa kuteuliwa ubunge na kupewa uwaziri wa maliasili na utalii yani ni uchafu mtupu serikali ya kishikaji na kipigaji wanaingia kwenda kufilisi rasirimali za watanzania hiyo ni mifano michache ya watu waliohaidiwa nyadhifa mbalimbali ndani ya utawala wa serikali itakayokuwa inaongozwa na Edward Lowassa
 
Ha ha ha lowassaa ndiye anaimiliki new habar na gazeti la RAI linaongozwa na mmoja wa watu wa lowasa bwana Matinyi sasa mnategemea nini?
 
Hebu mjitahidi mkatafute wakuwadanganya hivi unawezaje kujitungia mtihani na kujisahihishia mwenyewe??? Si kila Mtanzania ni mjinga Kama mnavyofikiri
 
Watu wa Membe na Pinda watakufa safari hii na mpaka ifike may pressure itawauwa.....walitegemea mkulu atawabeba ila kwa taarifa zilizopo mkuli kasema game itakuwa free and fair



Tena watakufa na kuzikana....Lowassa goooo..gooo...

There is no way, no how, no means, CCM IACHE MTU KAMA LOWASSA KWA WAKATI HUU....!!!

CCM hatufundishwi uongozi..tunajua, nani anafaa...kila wakati...kwa wakati huu ni LAIGWANAN KING MAKER, LOWASSA....2015...!!
 
Ndani ya CCM hakuna mwingine zaidi ya Lowassa
Namkubali sana huyu Mamvi manake kwa maamuzi ndio mwenyewe hawa wengine ni porojo tu

Okay lakini hatuwezi kumjaji mtu kwa kitu kimoja na kumchagua, uwezo wakuamua ni jambo moja na Unaamua nini ni jambo linguine,jamaa ni mzuri namkubali lakini amepungukiwa na maadili nafakiri anahitaji kupumzika ili kuimarisha afya yake.
 
Nawaletea hapa nadharia kuu tatu ambazo zitamtupa lowasa nje ya mbio za urais

1. NADHARIA YA KWANZA -JULIUS CAESAR
Huyu alikuwa ni mtawala wa dola la kirumi miaka mingi hata kabla ya Kristu, Mtawala aliyeheshimika katika dola kubwa kabisa lililopata kuwepo kwenye uso wa dunia. kulikuwa na tetesi kuwa mke wa kaisari alikuwa ametembea nje ya ndoa, habari zikaenea kama nyika katika dola la kaisari, kaisari akaunda tume ya watu weledI wachunguze kama kweli malkia alikuwa anazini nje ya ndoa yake. Tume ikafanya kazi yake pasi shaka, ikathibitisha kuwa ULIKUWA NI UONGO MKUBWA SANA ULIOPIKWA KUMCHAFUA MALKIA, kwa mshangao mkuu, kaisari akamtaliki mkewe, alipoulizwa kwa nini amefanya vile wakati habari zile zilikuwa potofu, akajibu kuwa MKE WA KAISARI HAPASWI HATA KUSINGIZIWA UONGO

MY TAKE: LOWASA ANASEMWA KWA MAMBO MENGI, KUHUSIKA KWAKE NA RICHMOND, UKWASI WA KUTISHA ALIOJILIMBIKIZIA TANGU AKIWA MKURUGENZI WA AICC, WAZIRI , NA WAZIRI MKUU. JULIUS NYERERE ALIWAHI KUONYA KWA HILI. kiti cha urais ni kitakatifu na kitukufu, hakipaswi hata kukaliwa na mtu anayehisiwa kuwa ni mwizi, hata kama zitaundwa tume lukuki kumsafisha. Tanzania ina watu zaidi ya milioni arobaini, haiwezekani akosekane kiongozi mmoja kwa mfano wa kaisari, haiwezekani nchi nzima imekosa kiongozi mweledi na kukimbilia wanaojisafisha bila kutakata.

Nadharia ya pili. -wanafilosofia wa zamani walikuwa ni watu wasiopenda kutawala, kinyume na wanasiasa, lakini wanafilosofia hawa walikuwa watawala wazuri, ukiwalazimisha kutawala watatawala kwa muda mfupi na kipindi chao cha utawala kikiisha wanataka haraka kurudi tena kwenye filosofia, tofauti yao na wanasiasa wa siku hizi wanapenda kutawala na wanapotawala wanakuwa dhaifu na ni viongozi wabovu, hivyo hata baada ya kipindi chao kupita bado wanaganda hawataki kuachia kutawala.

My take: lowasa ni mwanasiasa anayependa mno madaaraka, anapenda kutawala potelea mbali hata kama hana sifa za kutawala, ndo maana anatumia pesa, ulaghai , kuchafuana ili atawale, kipindi chake kikiisha anaweza kubadilisha katiba ili aendelee kutawala. Tanzania nchi iliyojaliwa rasilimali nyingi miaka ya karibuni, ni lazima tumtafute mwanafilosofia tumlazimisha awe rais hata kama hataki, atufanyie mambo makubwa hata anapomaliza muda wake tutamani aendelee lakini akatae na kurudi kwenye filosofia
 
Atachaguliwa na mke wake siyo watanzania kama anavyodhani wanakaa wanapika utafiti halafu wanapotosha watu.


Mbona mmeanza kujamba mapema mno???mziki wenyewe bado kabisa hahahahah,kweli mtaweweseka sana mwaka huu poleni
 
Mkuu naona siku hizi umeanza kutumika kinyume na maumbile na huyo bwana wako lowassa, endeleeni kufarijiana. kamwe hawezi ongoza Taifa hili

Mbona umebadilisha ID kama unauhakika na unachosema, tumia ID yako ya kwanza , tuone kama hautakimbia nchi. Mat aaa ko wewe
 
Lakini bado hajafika mwisho huenda akajikwaa akawa wa mwisho
utafiti uliochapishwa kwenye gazeti la rai la leo unaonyesha mh. Edward lowassa anaongoza akifuatiwa na dk. Slaa.
10801679_307799472736924_2319033265139927521_n.jpg
 
Back
Top Bottom