Utafiti mpya: Lowassa aongoza tena mbio za urais

Utafiti mpya: Lowassa aongoza tena mbio za urais

hawezi kuwa rais huyo fisadi. urais sio hodi ya maisela kulaza wagonjwa. 2015 tunamuhitaji rais mwanamke na awe msomi zaid kama professa.


Hayo ni mawazo yako,lakini hilo ndo lilishaisha LOWASA is the next president of the united republic of Tanzania,mbona mnaweweseka sana mkisikia hilo jina hahahahahahaha,na ndo ngoma bado mbichi kabisa hii
 
Lowasa ananuka rushwa ndo maana njaa kali wote wamegeuka vidampa wake! Hakika njaa mbaya


Anayenuka rushwa mbona ni mzee wa tezi DUME,au hamjui siri iliyojifisha nyuma ya pazia?mtahangaika sana lakini ukweli ndo huo,hatutaongea zaidi mjifurahishe na nyie kidogo
 
Mmeanza kelele zenu tena,mtachonga sana lakini ukweli ni kwamba jamaa hana MPINZANI hao wote ni WASINDIKIZAJI lowasaa yuko juu bwana,
go baba go baba go baba,usisikilize kelele za vyura

eleza vizuri hana mpinzani katika lipi. Mimi naona rekodi yake ya wizi na ufisadi ndio iko juu. si kila mtu ni mpuuzi kama unadhani unafaidika nae basi we tu
 
CCM hawana ujanja ....................... Naona Lowasa anazidi kuwaweka kwenye kona!! I can't wait to see the end of this movie!!!
 
Utafiti wa Urais uliochapishwa na gazeti la Rai linalomilikiwa na Rostam Azizi unaoonesha Lowassa anaongoza kwa 52% akifuatiwa na Dr Slaa na January Makamba umetajwa kuwa ni kiini macho na hadaa kwa watanzania, imebainika. Utafiti huu uliokataliwa na wahariri wakuu wa magazeti karibu yote nchini kuandikwa inasemekana inatokana na mapungufu yafuatayo ambayo hayakupata majibu kutoka kwa waandaaji :-

1. Umeandaliwa na vijana wa Edward Lowassa wanaofanya kazi maalum mitandaoni kwa lengo la kumjenga kisiasa, kumsafisha na tuhuma lukuki za kifisadi alizonazo na kumpigia kampeni hii ikiwa sambamba na kudhoofisha umaarufu na heshima za wagombea wengine ndani ya chama.

2. Kura ilikua haina ukomo, unaweza kupiga mara nyingi uwezavyo na wamekuwa wakihamasishana kumpigia kura Edward Lowassa mara nyingi kwa kadri inavyowezekana. Kampeni hii imekuwa ikifanywa na watoto wa Lowassa ambao ni Fred, Nelson na Neema kwa kushirikiana na vibaraka wao akiwemo Hussein Bashe ambaye ni Mkurugenzi Mtendaji wa kampuni ya New Habari Corporation inayomiliki gazeti la Rai na Mtanzania na aliyekuwa Makamu M/kiti wa UVCCM Taifa Beno Malissa.

3. Vijana wa Lowassa waliandaliwa utaratibu wa kupiga kura usiku na mchana ili tu mgombea wao aongoze kwa mbali sana ambapo kila siku vijana hao walilipwa posho ya shilingi za kitanzania 50,000 kwa kila mmoja.

4. Admin au muendeshaji wa kura hiyo alikua na mamlaka ya kuingia na kutazama na hata kudhibiti nani aendelee kuongoza na nani afuatie.

5.Dr Slaa ametengenezwa aonekane anafuatia nyuma ya Lowassa ili ionekane kuwa CCM isipomsimamisha Lowassa basi wapinzani watachukua nchi. Baada ya waandishi na wahariri wote kukataa katakata kuchapisha Utafiti huo wa hovyo na kipuuzi wakihoji nani kauandaa na ulipimwa kwa vigezo gani vya kisayansi, ni gazeti la Rai pekee linalomilikiwa na Rostam Azizi, rafiki mkubwa wa Lowassa ndilo pekee limechapisha habari hiyo.

6. Itakumbukwa kuwa hata Katibu Mkuu wa CHADEMA Dr. Wilbroad Slaa aliwahi kuongea na vyombo vya habari kuwa amenasa mawasiliano ya barua pepe (E-mail) kati ya Lowassa na maofisa wa Twaweza ili kutenegeza matokeo ya tafiti hiyo ambayo yalimbeba ndugu Edward Lowassa kwa tofauti ya asilimia moja (1%) akifuatiwa na Waziri Mkuu Mizengo Pinda. Hatahivyo ushindi huo wa tofauti ya asilimia moja ulionekana kumkwaza sana Ndugu Lowassa na hivyo kupekea kutoa agizo kwa vibaraka wake kuwa kazi kubwa ifanyike ya kutengeneza utafiti mpya utakao mbeba kwa tofauti ya asilimia kubwa dhidi ya wapinzani wake ndani ya chama.

My take:

Ni dhahiri kuwa ndugu Edward Lowassa sasa ameamua kujitekenya na kucheka mwenyewe huku akidhani anawahadaa watanzania kumbe anaidanganya mwenyewe na vibaraka wake ambao wamekuwa wakibuni mikakati mbalimbali ya kumchuna inayotumia pesa nyingi huku wakimcheka pembeni.

Ndugu wadau na Great Thinkers wenzangu naomba tujadili kwa hoja kashfa hii.

Naomba kuwasilisha

Lowassa atahangaika sana mwaka huu lakini mwisho wake ni 2015
 
Tuambie maoni yako kwa mzinifu kuwa wa pili?
Watanzania siyo watu wa chuki,iweje wewe ukawa na chuki kiasi hicho mpaka kumwita mwenzako kuwa mzinzi kisa siasa?Kama hauna cha kuchangia bora ukae kimya,ila mfahamu EL hasafishiki.
 
CCM hawana ujanja ....................... Naona Lowasa anazidi kuwaweka kwenye kona!! I can't wait to see the end of this movie!!!


Kweli wewe ni Zero kama lilivyo jina lako endelea kujidanganya hivyohivyo, 2015 ndio mwisho wenu na hizo ndoto zenu na huyo Fisadi papa
 
Utafiti wa Urais uliochapishwa na gazeti la Rai linalomilikiwa na Rostam Azizi unaoonesha Lowassa anaongoza kwa 52% akifuatiwa na Dr Slaa na January Makamba umetajwa kuwa ni kiinimacho na hadaa kwa watanzania, imebainika.

Utafiti huu uliokataliwa na wahariri wa magazeti karibu yote kuandikwa inasemekana inayokana mapungufu yafuatayo ambayo hayakupata majibu kutoka kwa waandaaji :-

1.Umeandaliwa na vijana was Lowassa wanaofanya kazi mtandaoni.

2.Kura ilikua haina ukomo, unaweza kupiga mara nyingi uwezavyo

3.Vijana wa Lowassa waliandaliwa utaratibu wa kupiga kura usiku na mchana ili tu mgombea wao aongoze kwa mbali sana.

4.Admin au muendeshaji wa kura hiyo alikua na mamlaka ya kuingia na kutazama na hata kudhibiti nani aendelee kuongoza na nani afuatie.

5.Dr Slaa ametengenezwa aonekane anafuatia nyuma ya Lowassa ili ionekane kuwa CCM isipomsimamisha Lowassa basi wapinzani watachukua nchi.

Baada ya waandishi na wahariri wote kukataa kuchapisha Utafiti huo wa hovyo wakihoji nani kauandaa na ulipimwa kwa vigezo gani vya kisayansi, ni gazeti la Rai pekee linalomilikiwa na Rostam Azizi, rafiki mkubwa wa Lowassa ndilo pekee limechapisha habari hiyo.
Lowassa ajajitekenya na kucheka mwenyewe.
hawezi kuwa rais huyo. anajidanganya fisadi mkubwa huyo. ikulu sio hodi ya maisela kulaza wagonjwa. 2015 rais anatakiwa awe mwanamke na msomi nzaidi
 
Kweli wewe ni Zero kama lilivyo jina lako endelea kujidanganya hivyohivyo, 2015 ndio mwisho wenu na hizo ndoto zenu na huyo Fisadi papa

Mimi siyo CCM and I hate CCM by heart ............................... lakini ukweli ni huo. Jamaa kawaweka kwenye kona, tunahesabu tu seconds ......................... lazima itakuwa ni KO!! Ndiyo maana unafura!! Hakuna mahali niliposema kuwa Lowasa atakuwa Rais................... You Idiot!!
 
Mimi siyo CCM and I hate CCM by heart ............................... lakini ukweli ni huo. Jamaa kawaweka kwenye kona, tunahesabu tu seconds ......................... lazima itakuwa ni KO!! Ndiyo maana unafura!! Hakuna mahali niliposema kuwa Lowasa atakuwa Rais................... You Idiot!!

To hate what you can not defeat is absolute foolishness.
Go to hell u bitch
 
Lowasa mwenyewe mgonjwa hata June yenyewe sinahakika Kama atafika. 2.angeweza kutuongoza lkn sifa hizi tatu zinamtoa kwenye sifa ya kuongoza Nchi , 1.FISADI NA MZULUMAJI (kaulize familia ya sokoine) 2.Maumivu, uchungu na kisasi alichonacho moyoni.3 Ameshaahidi watuwengi sana kuwapa nyadhifa na pesazake zimewapofusha wengi macho hawajui hata wanachokifanya,lowasa hawezikuvuka uzi wa Mwalimu hajabadilika bado.
 
Utafiti wa Urais uliochapishwa na gazeti la Rai linalomilikiwa na Rostam Azizi unaoonesha Lowassa anaongoza kwa 52% akifuatiwa na Dr Slaa na January Makamba umetajwa kuwa ni kiini macho na hadaa kwa watanzania, imebainika. Utafiti huu uliokataliwa na wahariri wakuu wa magazeti karibu yote nchini kuandikwa inasemekana inatokana na mapungufu yafuatayo ambayo hayakupata majibu kutoka kwa waandaaji :-

1. Umeandaliwa na vijana wa Edward Lowassa wanaofanya kazi maalum mitandaoni kwa lengo la kumjenga kisiasa, kumsafisha na tuhuma lukuki za kifisadi alizonazo na kumpigia kampeni hii ikiwa sambamba na kudhoofisha umaarufu na heshima za wagombea wengine ndani ya chama.

2. Kura ilikua haina ukomo, unaweza kupiga mara nyingi uwezavyo na wamekuwa wakihamasishana kumpigia kura Edward Lowassa mara nyingi kwa kadri inavyowezekana. Kampeni hii imekuwa ikifanywa na watoto wa Lowassa ambao ni Fred, Nelson na Neema kwa kushirikiana na vibaraka wao akiwemo Hussein Bashe ambaye ni Mkurugenzi Mtendaji wa kampuni ya New Habari Corporation inayomiliki gazeti la Rai na Mtanzania na aliyekuwa Makamu M/kiti wa UVCCM Taifa Beno Malissa.

3. Vijana wa Lowassa waliandaliwa utaratibu wa kupiga kura usiku na mchana ili tu mgombea wao aongoze kwa mbali sana ambapo kila siku vijana hao walilipwa posho ya shilingi za kitanzania 50,000 kwa kila mmoja.

4. Admin au muendeshaji wa kura hiyo alikua na mamlaka ya kuingia na kutazama na hata kudhibiti nani aendelee kuongoza na nani afuatie.

5.Dr Slaa ametengenezwa aonekane anafuatia nyuma ya Lowassa ili ionekane kuwa CCM isipomsimamisha Lowassa basi wapinzani watachukua nchi. Baada ya waandishi na wahariri wote kukataa katakata kuchapisha Utafiti huo wa hovyo na kipuuzi wakihoji nani kauandaa na ulipimwa kwa vigezo gani vya kisayansi, ni gazeti la Rai pekee linalomilikiwa na Rostam Azizi, rafiki mkubwa wa Lowassa ndilo pekee limechapisha habari hiyo.

6. Itakumbukwa kuwa hata Katibu Mkuu wa CHADEMA Dr. Wilbroad Slaa aliwahi kuongea na vyombo vya habari kuwa amenasa mawasiliano ya barua pepe (E-mail) kati ya Lowassa na maofisa wa Twaweza ili kutenegeza matokeo ya tafiti hiyo ambayo yalimbeba ndugu Edward Lowassa kwa tofauti ya asilimia moja (1%) akifuatiwa na Waziri Mkuu Mizengo Pinda. Hatahivyo ushindi huo wa tofauti ya asilimia moja ulionekana kumkwaza sana Ndugu Lowassa na hivyo kupekea kutoa agizo kwa vibaraka wake kuwa kazi kubwa ifanyike ya kutengeneza utafiti mpya utakao mbeba kwa tofauti ya asilimia kubwa dhidi ya wapinzani wake ndani ya chama.

My take:

Ni dhahiri kuwa ndugu Edward Lowassa sasa ameamua kujitekenya na kucheka mwenyewe huku akidhani anawahadaa watanzania kumbe anaidanganya mwenyewe na vibaraka wake ambao wamekuwa wakibuni mikakati mbalimbali ya kumchuna inayotumia pesa nyingi huku wakimcheka pembeni.

Ndugu wadau na Great Thinkers wenzangu naomba tujadili kwa hoja kashfa hii.

Naomba kuwasilisha


Kwa mikakati hii ya kipuuzi anayofanya Lowassa na hao vibaraka wake hakika dunia itamhukumu na afute kabisa ndoto za kuwa Rais wa JMT.

Hatufai kabisa
 
Utafiti wa Urais uliochapishwa na gazeti la Rai linalomilikiwa na Rostam Azizi unaoonesha Lowassa anaongoza kwa 52% akifuatiwa na Dr Slaa na January Makamba umetajwa kuwa ni kiini macho na hadaa kwa watanzania, imebainika. Utafiti huu uliokataliwa na wahariri wakuu wa magazeti karibu yote nchini kuandikwa inasemekana inatokana na mapungufu yafuatayo ambayo hayakupata majibu kutoka kwa waandaaji :-

1. Umeandaliwa na vijana wa Edward Lowassa wanaofanya kazi maalum mitandaoni kwa lengo la kumjenga kisiasa, kumsafisha na tuhuma lukuki za kifisadi alizonazo na kumpigia kampeni hii ikiwa sambamba na kudhoofisha umaarufu na heshima za wagombea wengine ndani ya chama.

2. Kura ilikua haina ukomo, unaweza kupiga mara nyingi uwezavyo na wamekuwa wakihamasishana kumpigia kura Edward Lowassa mara nyingi kwa kadri inavyowezekana. Kampeni hii imekuwa ikifanywa na watoto wa Lowassa ambao ni Fred, Nelson na Neema kwa kushirikiana na vibaraka wao akiwemo Hussein Bashe ambaye ni Mkurugenzi Mtendaji wa kampuni ya New Habari Corporation inayomiliki gazeti la Rai na Mtanzania na aliyekuwa Makamu M/kiti wa UVCCM Taifa Beno Malissa.

3. Vijana wa Lowassa waliandaliwa utaratibu wa kupiga kura usiku na mchana ili tu mgombea wao aongoze kwa mbali sana ambapo kila siku vijana hao walilipwa posho ya shilingi za kitanzania 50,000 kwa kila mmoja.

4. Admin au muendeshaji wa kura hiyo alikua na mamlaka ya kuingia na kutazama na hata kudhibiti nani aendelee kuongoza na nani afuatie.

5.Dr Slaa ametengenezwa aonekane anafuatia nyuma ya Lowassa ili ionekane kuwa CCM isipomsimamisha Lowassa basi wapinzani watachukua nchi. Baada ya waandishi na wahariri wote kukataa katakata kuchapisha Utafiti huo wa hovyo na kipuuzi wakihoji nani kauandaa na ulipimwa kwa vigezo gani vya kisayansi, ni gazeti la Rai pekee linalomilikiwa na Rostam Azizi, rafiki mkubwa wa Lowassa ndilo pekee limechapisha habari hiyo.

6. Itakumbukwa kuwa hata Katibu Mkuu wa CHADEMA Dr. Wilbroad Slaa aliwahi kuongea na vyombo vya habari kuwa amenasa mawasiliano ya barua pepe (E-mail) kati ya Lowassa na maofisa wa Twaweza ili kutenegeza matokeo ya tafiti hiyo ambayo yalimbeba ndugu Edward Lowassa kwa tofauti ya asilimia moja (1%) akifuatiwa na Waziri Mkuu Mizengo Pinda. Hatahivyo ushindi huo wa tofauti ya asilimia moja ulionekana kumkwaza sana Ndugu Lowassa na hivyo kupekea kutoa agizo kwa vibaraka wake kuwa kazi kubwa ifanyike ya kutengeneza utafiti mpya utakao mbeba kwa tofauti ya asilimia kubwa dhidi ya wapinzani wake ndani ya chama.

My take:

Ni dhahiri kuwa ndugu Edward Lowassa sasa ameamua kujitekenya na kucheka mwenyewe huku akidhani anawahadaa watanzania kumbe anaidanganya mwenyewe na vibaraka wake ambao wamekuwa wakibuni mikakati mbalimbali ya kumchuna inayotumia pesa nyingi huku wakimcheka pembeni.

Ndugu wadau na Great Thinkers wenzangu naomba tujadili kwa hoja kashfa hii.

Naomba kuwasilisha

Katika hili kamwe Edward Lowassa hatofanikiwa mbinu zake zote chafu zinajulikana ndani na nje ya chama ile michezo aliyoicheza mwaka 2005 kwa kuwachafua wagombea wengine ndani ya chama akiwemo Salim Ahmed Salim kwa kushirikiana na vyombo vya habari yakiwemo magazetiya Rostam aziz kuchapisha tafiti za kijanja janja zenye mlengo wa kuwabeba wao kisiasa
 
Wewe ni hawara wa nani. Mtake msitake Lowassa ndiye next president.

Mkuu naona siku hizi umeanza kutumika kinyume na maumbile na huyo bwana wako lowassa, endeleeni kufarijiana. kamwe hawezi ongoza Taifa hili
 
utafiti uliochapishwa kwenye gazeti la rai la leo unaonyesha mh. Edward lowassa anaongoza akifuatiwa na dk. Slaa.
10801679_307799472736924_2319033265139927521_n.jpg

rais tunaemtaka 2015 ni mwanamke 2015. Lowasa apumzike augue salama. Hatumtaki ng'oooooooooooo
 
Edward Lowasa amezoea vya kunyonga vya kuchinja hawezi ndiyo maana amekuwa mfitini mkuu kwa wenzie kuelekea uchaguzi mkuu 2015,anadidanganya bure watanzania tumeamka tunajua janja zake na wala hatuko tayari kumchagua awe rais wa JMT hatuko tayari kukubali kuongozwa na mafisadi kupitia kibaraka wao Edward Lowassa
 
Edward Lowasa amezoea vya kunyonga vya kuchinja hawezi ndiyo maana amekuwa mfitini mkuu kwa wenzie kuelekea uchaguzi mkuu 2015,anadidanganya bure watanzania tumeamka tunajua janja zake na wala hatuko tayari kumchagua awe rais wa JMT hatuko tayari kukubali kuongozwa na mafisadi kupitia kibaraka wao Edward Lowassa
 
Yes E.Lowasa go gooo gooooo Mr Prizide natumai utaondoa njaaaa ya vhela
unapendwa wanao kuchukia hawana sababu za Msingi why
nenda lowasa


Kutumika kinyume na maumbile ni kubaya sana, hivi anawapa nini huyo Lowassa wenu. mwisho wenu unakaribia
 
Back
Top Bottom