First Born
JF-Expert Member
- Jul 11, 2011
- 5,310
- 1,473
- Thread starter
- #41
thubutu.Ushaniharibia siku yangu,nilikuwa na mpango wa kuleta totoz geto leo ila ushantisha
thubutu.Ushaniharibia siku yangu,nilikuwa na mpango wa kuleta totoz geto leo ila ushantisha
unaamka asubuhi kumcheki sweetie wako ndo yuko hivyoView attachment 34163
Nitamwomba tiGo haraka haraka!
kwa hiyo we kuzimia unachukulia jambo la kufanyia maamuzi?mi ntazimia tu basi.
itanyanyuka?Nitamwomba tiGo haraka haraka!
aaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!! FF!!!!!! Mi handsome hivi??????????????????????????????Mbona kafanana na wewe?
kwani kwenye kuzimia huwa tunaamua?mi ntazimia tu basi.
inaonekana unaweza ata kulikiss ili lisistuke.umewai kuish na vampire ninpi?Namchukulia poa kwani nimeshalala naye usku kucha angekuwa anataka kuniua mbona ningekuwa nishatangulia kuzimu. Unajikaza kisabuni unamchukulia poa usionyeshe wasiwasi mpaka akasituka hapo ndio anaweza kukudhuru.
aswaa inabid ukague ikulu ukikuta mpangilio sio ule ulozoea unanyata had nje then ndukiiiiiiiiiiiiiiAsee, mi namfunika na blanket usoni, then nacheck ikulu kama kupo flesh kwanza nijue cha kufanya!
Ahahahaaah!! Hii ni kweli kabisa, kifo tu hapo kwa mshtuko..nafsi itarudi kwa muumba fasta tuuu maana huo mshtuko utakuwa mkubwa, AORTA lazima ipasuke!!!
ukizimia tu anaweza kufanya mambo yake, na unaweza usirudi duniani.Ahahahaaah!! Hii ni kweli kabisa, kifo tu hapo kwa mshtuko..
weee!! Malavidavi hapo yatatokea wapi? Sa hizo anatoa tu ule mlio wa Nsyuka wa hhaaaa hhhaaa! Nyamaaa!unatulia tu halafu ndio unaongeza malavidavi huku ukiomba msamaha lisikufanye chochote mbaya
Halafu ndio Reverend huyo! Mie niliwahi kukuambia wewe ni Reverse.
Halafu kila unakoelekea unalikuta liko mbele yako! haa haa haaaaHapa nduki tu,hakuna kuangalia nyuma