Utabiri wa bingwa CAFCL, CAF Confederation na NBCPL 2025

Utabiri wa bingwa CAFCL, CAF Confederation na NBCPL 2025

Boston12

JF-Expert Member
Joined
Feb 23, 2025
Posts
506
Reaction score
1,671
Hello!
Bila kupoteza muda.

Bingwa wa CAF CHAMPION LEAGUE atakua Pyramids FC baada ya kumshinda Al Ahly kwenye fainali.

Bingwa wa CAF Confederation cup atakuwa RS BERKANE baada ya kumpiga Gori zaidi ya 2 SIMBA SC kwenye uwanja wake wa nyumbani kule Morocco. Kwa maana hiyo Simba SC atacheza fainali ya CAF Confederation mwaka huu 2025.

Bingwa wa ligi kuu NBC TANZANIA bara atakua club ya Yanga huku mshindi wa pili akibaki kuwa Simba SC.

Bingwa wa CRDB Confederation cup mwaka huu atakua Simba SC baada ya kumfunga Yanga kwenye fainali.

Mfungaji Bora wa ligi kuu ya NBC atakua Prince Dube kwa zaidi ya magoli 14.

Bingwa wa UEFA champions league atakua Arsenal baada ya kumfunga Inter Milan watakae ingia nae fainali.

Tunza uzi huu.
 
Hello!
Bila kupoteza muda.

Bingwa wa CAF CHAMPION LEAGUE atakua Pyramids FC baada ya kumshinda Al Ahly kwenye fainali.

Bingwa wa CAF Confederation cup atakuwa RS BERKANE baada ya kumpiga Gori zaidi ya 2 SIMBA SC kwenye uwanja wake wa nyumbani kule Morocco. Kwa maana hiyo Simba SC atacheza fainali ya CAF Confederation mwaka huu 2025.

Bingwa wa ligi kuu NBC TANZANIA bara atakua club ya Yanga huku mshindi wa pili akibaki kuwa Simba SC.

Bingwa wa CRDB Confederation cup mwaka huu atakua Simba SC baada ya kumfunga Yanga kwenye fainali.

Mfungaji Bora wa ligi kuu ya NBC atakua Prince Dube kwa zaidi ya magoli 14.

Tunza uzi huu.
Ngoja tuone
 
Hello!
Bila kupoteza muda.

Bingwa wa CAF CHAMPION LEAGUE atakua Pyramids FC baada ya kumshinda Al Ahly kwenye fainali.

Bingwa wa CAF Confederation cup atakuwa RS BERKANE baada ya kumpiga Gori zaidi ya 2 SIMBA SC kwenye uwanja wake wa nyumbani kule Morocco. Kwa maana hiyo Simba SC atacheza fainali ya CAF Confederation mwaka huu 2025.

Bingwa wa ligi kuu NBC TANZANIA bara atakua club ya Yanga huku mshindi wa pili akibaki kuwa Simba SC.

Bingwa wa CRDB Confederation cup mwaka huu atakua Simba SC baada ya kumfunga Yanga kwenye fainali.

Mfungaji Bora wa ligi kuu ya NBC atakua Prince Dube kwa zaidi ya magoli 14.

Tunza uzi huu.
Bingwa wa CAF confederation cup, NBC Premier leag na CRDB cup ni ZEMBA. Bingwa wa CAF Champions league atakuwa Nadel Al Ahly.

Bingwa wa UEFA Champions league atakuwa Arsenal.

Bye bye!!
 
Hello!
Bila kupoteza muda.

Bingwa wa CAF CHAMPION LEAGUE atakua Pyramids FC baada ya kumshinda Al Ahly kwenye fainali.

Bingwa wa CAF Confederation cup atakuwa RS BERKANE baada ya kumpiga Gori zaidi ya 2 SIMBA SC kwenye uwanja wake wa nyumbani kule Morocco. Kwa maana hiyo Simba SC atacheza fainali ya CAF Confederation mwaka huu 2025.

Bingwa wa ligi kuu NBC TANZANIA bara atakua club ya Yanga huku mshindi wa pili akibaki kuwa Simba SC.

Bingwa wa CRDB Confederation cup mwaka huu atakua Simba SC baada ya kumfunga Yanga kwenye fainali.

Mfungaji Bora wa ligi kuu ya NBC atakua Prince Dube kwa zaidi ya magoli 14.

Bingwa wa UEFA champions league atakua Arsenal baada ya kumfunga Inter Milan watakae ingia nae fainali.

Tunza uzi huu.
Hayo ya kabumbu hayanihusu ila hapo Uefa ndipo pana nihusu. Bingwa ni Barcelona baada ya kumpiga PSG 1 bila majibu.
 
Hello!
Bila kupoteza muda.

Bingwa wa CAF CHAMPION LEAGUE atakua Pyramids FC baada ya kumshinda Al Ahly kwenye fainali.

Bingwa wa CAF Confederation cup atakuwa RS BERKANE baada ya kumpiga Gori zaidi ya 2 SIMBA SC kwenye uwanja wake wa nyumbani kule Morocco. Kwa maana hiyo Simba SC atacheza fainali ya CAF Confederation mwaka huu 2025.

Bingwa wa ligi kuu NBC TANZANIA bara atakua club ya Yanga huku mshindi wa pili akibaki kuwa Simba SC.

Bingwa wa CRDB Confederation cup mwaka huu atakua Simba SC baada ya kumfunga Yanga kwenye fainali.

Mfungaji Bora wa ligi kuu ya NBC atakua Prince Dube kwa zaidi ya magoli 14.

Bingwa wa UEFA champions league atakua Arsenal baada ya kumfunga Inter Milan watakae ingia nae fainali.

Tunza uzi huu.
yaan inter milan afungwe na arsernal alaf sowah ndiye atachukua kiatu alaf CRDB atachukua yanga
 
du! bahat mbaya tutamkosa robert lewandowski kwa wiki mbili hiki kitu kinaniuma kumkosa mchezaji mwenye uzoefu
Ukishamuondoa Robert Lewondosk kikosini, wanaobaki ni watoto wasio na uzoefu wowote ligi ya mabingwa ndio maana watapigwa na inter Milan.
 
Umenikera sana uliposema bingwa wa Caf confederation cup atakua Berkane baada ya kumfunga Simba.. Sikuachi ngoja na mimi nikukere

Bingwa wa kombe la supu atakua yanga baada ya kuwafunga vitambi noma fc kutoka kijenge jijini Arusha.
 
Ukishamuondoa Robert Lewondosk kikosini, wanaobaki ni watoto wasio na uzoefu wowote ligi ya mabingwa ndio maana watapigwa na inter Milan.
Duuh wewe sidhani hata kama game za Barca unaangalia!
 
Ni bora Simba akose ubingwa kwenye hii michuano ya gsm ya kuhonga makipa lakini abebe ubingwa wa caf shirikisho.
 
Ukishamuondoa Robert Lewondosk kikosini, wanaobaki ni watoto wasio na uzoefu wowote ligi ya mabingwa ndio maana watapigwa na inter Milan.
kibaya zaidi inter milan wana defence ngumu ikiongozwa na bastoni lakini tunaweza kutoboa we are barca
 
Back
Top Bottom