Utabiri wa bingwa CAFCL, CAF Confederation na NBCPL 2025

Utabiri wa bingwa CAFCL, CAF Confederation na NBCPL 2025

Umefeli Maeneo karibia yote.
CAFCL - Pyramids
CAFCC - Simba Mnyama
NBC - Simba Mnyama
CRDB - Simba Mnyama
UEFA - PSG.
Amepatia maeneo mengi wewe umepatia mawili

CAFCL - Alisema Pyramids - alipatia
CAFCC - Alisema Rs Berkane - alipatia
NBC - Alisema Yanga - alipatia
CRDB - Alisema Simba - amekosea kwa kuwa Simba alishatolewa na kuna uwezakano mkubwa Yanga akachukuwa tena
UEFA - Alisema Arsenal ila amekosea kwa kuwa PSG wamebeba.
 
Amepatia maeneo mengi wewe umepatia mawili

CAFCL - Alisema Pyramids - alipatia
CAFCC - Alisema Rs Berkane - alipatia
NBC - Alisema Yanga - alipatia
CRDB - Alisema Simba - amekosea kwa kuwa Simba alishatolewa na kuna uwezakano mkubwa Yanga akachukuwa tena
UEFA - Alisema Arsenal ila amekosea kwa kuwa PSG wamebeba.
Mimi nimepatia kwa Pyramids na PSG.
Hapo kwa Mnyama hakuna namna ambayo ningetaja Utopolo hata ungeniwekea Kisu.
 
Hello!
Bila kupoteza muda.

Bingwa wa CAF CHAMPION LEAGUE atakua Pyramids FC baada ya kumshinda Al Ahly kwenye fainali.

Bingwa wa CAF Confederation cup atakuwa RS BERKANE baada ya kumpiga Gori zaidi ya 2 SIMBA SC kwenye uwanja wake wa nyumbani kule Morocco. Kwa maana hiyo Simba SC atacheza fainali ya CAF Confederation mwaka huu 2025.

Bingwa wa ligi kuu NBC TANZANIA bara atakua club ya Yanga huku mshindi wa pili akibaki kuwa Simba SC.

Bingwa wa CRDB Confederation cup mwaka huu atakua Simba SC baada ya kumfunga Yanga kwenye fainali.

Mfungaji Bora wa ligi kuu ya NBC atakua Prince Dube kwa zaidi ya magoli 14.

Bingwa wa UEFA champions league atakua Arsenal baada ya kumfunga Inter Milan watakae ingia nae fainali.

Tunza uzi huu.
Ulianza vizuri sijui ukanywa pombe gani huko mwisho ukaharibu😂
 
Back
Top Bottom