Utabiri: Taja jina la mbunge unayetamani awe Waziri Mkuu mpya wa Tanzania?

Utabiri: Taja jina la mbunge unayetamani awe Waziri Mkuu mpya wa Tanzania?

Mzaramo sio team wahuni
Mhaya sio team wahuni
Huyo mwingine ni team wahuni na anaandaliwa kitu.
Huenda wakampa kwanza kiti cha kukalia kama shukran kwa kazi kubwa ya kufadhili uchafuzi
 
Kwa utabiri wangu, Mwigulu, Innocent Bashungwa au Jafo mmoja wapo ataukwaa U-PM.

Tupe utabiri wako
Sina utabiri ila onyo,tuache uchawa tufikiri uzalendo zaidi na namna yakurejesha mshikamano wa kitaifa na haki kwa wote,na namna ya kuihubiri HAKI ya kweli ile ya Kizalendo na sii ya kichawa ama ya kinafiki kama ilivyofanywa kuwa desturi ya watawala na chawa wao!
 
Sina utabiri ila onyo,tuache uchawa tufikiri uzalendo zaidi na namna yakurejesha mshikamano wa kitaifa na haki kwa wote,na namna ya kuihubiri HAKI ya kweli ile ya Kizalendo na sii ya kichawa ama ya kinafiki kama ilivyofanywa kuwa desturi ya watawala na chawa wao!
Walimu wako walipata sana shida
 
Back
Top Bottom