Ponjoro wa Kinondoni
JF-Expert Member
- Jan 5, 2024
- 2,882
- 7,916
Njia pekee ya kuinusuru ni TFF kubadili hii ratiba (haijatoka hadharani bado ila nimeiona kwa njia nyingine).
Iko hivi, Simba ndio itaanza kucheza dhidi ya Azam siku yakwanza, then itafuata mechi ya Yanga dhidi ya Singida (sijui ni kwanini imepangwa hivi)
Kwa nongwa ya yanga, ikitokea Simba imefungwa na Azam, mchezo unaofuata Yanga itafungwa na Singida mradi wakutane kwenye mshindi wa 3 ili amfumue tena.
Njia pekee ya kunusuru ni kuanza na mechi ya Yanga ili ikishinda simba ijifungishe wasikutane.
Mangungu, ongea na Karia.
Iko hivi, Simba ndio itaanza kucheza dhidi ya Azam siku yakwanza, then itafuata mechi ya Yanga dhidi ya Singida (sijui ni kwanini imepangwa hivi)
Kwa nongwa ya yanga, ikitokea Simba imefungwa na Azam, mchezo unaofuata Yanga itafungwa na Singida mradi wakutane kwenye mshindi wa 3 ili amfumue tena.
Njia pekee ya kunusuru ni kuanza na mechi ya Yanga ili ikishinda simba ijifungishe wasikutane.
Mangungu, ongea na Karia.