muhomakilo jr JF-Expert Member Joined Jul 28, 2013 Posts 15,835 Reaction score 14,726 Aug 13, 2025 #21 Hebu tuache kwanza, tupo katka maumivu ya kutoa pesa zetu za Tofali na kuwapa CCM.
DELETED ACCOUNT JF-Expert Member Joined Mar 25, 2010 Posts 9,805 Reaction score 15,470 Aug 13, 2025 #22 Sijui kuhusu hizo goli 4 ila ni uhakika Simba inaenda kufungwa na Yanga kwenye ngao ya jamii.
Beira Boy JF-Expert Member Joined Aug 7, 2016 Posts 23,961 Reaction score 42,166 Aug 13, 2025 #23 PASADENA said: Sijui kuhusu hizo goli 4 ila ni uhakika Simba inaenda kufungwa na Yanga kwenye ngao ya jamii. Click to expand... Kwanini
PASADENA said: Sijui kuhusu hizo goli 4 ila ni uhakika Simba inaenda kufungwa na Yanga kwenye ngao ya jamii. Click to expand... Kwanini