BIN NUN
JF-Expert Member
- May 23, 2014
- 3,234
- 6,377
Una kitu unakiona mkuu.Ukifikiria kwa makini kuhusu kauli ya Hersi akiwa kule Misri, pale aliposema kuwa fainali ni "Al ahly na Mamelod" utagundua kitu
Una kitu unakiona mkuu.Ukifikiria kwa makini kuhusu kauli ya Hersi akiwa kule Misri, pale aliposema kuwa fainali ni "Al ahly na Mamelod" utagundua kitu
Yeye ni Dr. wa miti shamba. Kama Dr. Mwaka, Ndondi, etcDah,mnadhalilisha hizi phd au ni Dr wa mifugo?
Hajui huyo ngoja aone ata kwa mkapa tu hatoambulia kitu.unajua AHLY kwenye mtoano anakuwa kama madrid akiwa UEFA CL
Unataka kulinganisha hizo takataka za falsafa na DVm?Dah,mnadhalilisha hizi phd au ni Dr wa mifugo?
Simba hii hii ya kocha aliyejifungashia mwenyewe virago?Hawa Simba wanaokata upepo second half? Hawa wanaoshindwaa kupata clean sheets game 3
Nilikuwa nimeanza kuamini utabiri wako uliposema"Kwetu" nikajisemea kumbe hizi ni chombeza za kibongo za kivyetu vyetu.Kwetu ahly Mchumba tu
Jana nilikuuliza wewe ni daktari wa nini hujanijibu.Baada ya kuona Matokeo ya droo ya Timu zitakazocheza Robo Fainali hapa ni Utabiri wangu wa mechi za robo fainali..
kwa timu za Tanzania Yanga atajitutumua atatoa Droo Nyumbani ila Atafungwa Ugenini hivyo kuyaaga mashindano hayo..
Wakati huo Simba atafunga goal nyingi Nyumbani,Ila atafungwa akiwa cairo wingi wa magoal (Aggregate) Utambeba na hivyo kusogea Nusu Fainali..
Asec atafungwa na ES Tunis, Hivyo ES tunis Kupata nafasi ya kuingia Nusu Fainali pamoja na Masandawana..
Huku na huku Mazembe atamchapa Petro na kuingia Nusu fainali huku watashindana mazembe na Simba nusu fainali na Simba ataibuka Mshindi na kwenda kucheza Fainali na Mamelodi..
Japo atakuwa mshindi wa pili mamelod masandawana akichukua CAFCL.
View attachment 2932768
Kwetu watanzania wote..Nilikuwa nimeanza kuamini utabiri wako uliposema"Kwetu" nikajisemea kumbe hizi ni chombeza za kibongo za kivyetu vyetu.
Neonatologist..Mkuu unataka kunipa kazi 😅Jana nilikuuliza wewe ni daktari wa nini hujanijibu.
Basi utakuwa umepita pale ghorofani dawa ya ngiri ukapasha.Neonatologist..Mkuu unataka kunipa kazi 😅
Ndo wapi hapo 😅😅😅Basi utakuwa umepita pale ghorofani dawa ya ngiri ukapasha.
Kwani Ahaly atacheza na timu zote 2 Simba na Yanga.Kwetu watanzania wote..
Iwe ni Simba au Yanga ahly hana nafasi kwtu tena tushamzoea
Hapana atacheza na simba kwenye Tarehe 29..Kwani Ahaly atacheza na timu zote 2 Simba na Yanga.