Haya majibu niliyopata nimeogopa![]()
![]()
Tena sikushauri ujaribu maana kuacha kwake ni kama mvuta sigara anapoambiwa na Daktari aachePole sana mkuu....haya makitu sitaki mazoea nayo kabisa!!!
Mshana Jr we ni nomaNenda Google kisha click free tarot card readings , zikishakuja utaona kitufye cha click to start. utaclik kadi sita kisha zitakupa majibu
CC: peterchoka Bitoz Jimena na team kapuku woote + old schoolHuu ni ushetani!!! Cheki picha, kichwa na alama ya satanic star
[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji144] [emoji144] [emoji144]
Usiyazoee hayo mkuu, badala ya kumshukuru Muumba wako utashukuru karataMshana Jr we ni noma
Nimeenda Google na nimecheza kadi sita at random just once
Maelezo niliyopata from those cards ni kweli tupu,
Ila Inahitaji utulivu wakati wa kuzisoma coz lugha ni kidhungu na sisi ni wa waswahili, ili Kupata uelewa mzuri na kumatch na ya kwako
Big up Mshana Jr again
Ukiamini tu umekwishaaaHuu ni ushetani!!! Cheki picha, kichwa na alama ya satanic star
Umebarikiwa. ..Mi huwa kila ninapoangalia inaniletea majibu mazuri mazuri yenye kuvutia...nimesoma mpaka napata raha tabiri ya wiki kwa wiki inaleta mulemule...sijui ndio navuuutwa nikianza kuamini tu nitandikwe, nadhani moja ni kuamini kwani katika maisha yangu huwa ninaamini nimezaliwa na kitu cha kipekee...
Nilisimuliwa na mama yangu nikiwa mtoto mchanga nilikosa kuuliwa na wachawi mara tatu kijijini kwetu Rombo Kilimanjaro, matukio mengi niliyopitia kwenye nguvu za Giza nilijidumbukiza kwenye waganga mbalimbali na wote walikuwa wakinitazama wananiambia maneno yanayofanana kuhusu kuzaliwa na nyota Kali sana...ila namshukuru Mungu 2014 nilichoropoka kwenye imani hizo za giza na kumrudia Mungu wangu
Wakina Nani waliokutabiria hivyo mkuu na ikawa kweli?Walinitabiria kwa mwaka mzima yaani kuanzia hiyo tarehe nilianza kupata matokea siku ya pili tena nilikwisha sahau, maana walianiambia kabla ya siku saba nitapoteza kazi na nitakuwa na wakati ngumu sana kwa kipindi cha robo tatu ya mwaka ilikuwa hiyo
Watu gani hao mkuu?Ilikuwa hivyo na nilikuwa sijui kama ni vibaya baada ya kuambiwa ni mbaya kwa kweli nimeacha
Ni wakina Nani waliosema utume tatu tuTatizo waliniambia nitume tatu tu
Thanks kwa ushauriUsiyazoee hayo mkuu, badala ya kumshukuru Muumba wako utashukuru karata
Hichi ndicho watu wanatakiwa WAJUETarot ni nguvu ya kuzimu inakupa kitu sahihi
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]Hii kitu noma aisee.,nimejicheck kwa kuchagua karata sita..,Duuuuh..,yaan utadhan wanaishi na mm rom moja..,daaah
Hata sielewi. Nimeshindwa hiyo kituHalafu hutafanya kitu bila kuchungulia karata
Not bad Mshana Jr, ni kama kuwa na mpelelezi kwenye issues zakoHalafu hutafanya kitu bila kuchungulia karata