Utabiri kwa kutumia karata za tarot

Utabiri kwa kutumia karata za tarot

mshana jr sikumaanisha kwamba maelezo yako ni batili, nilichokusudia kueleza ni kwamba tarot card iko kinyume na mpango wa Mungu. Kwa hivyo hiyo tuseme inawahusu wasio muamini Mungu. Mungu anasema, tusijisumbue kuhusu kesho, tuiache ijisumbukie yenyewe tu. Ni kweli hiyo kitu ipo, na ina maandiko mengi tu kuielezea, lakini iko kinyume na Mungu.
Hapa sasa nakubaliana nawe kwa asilimia zote tarot si kitu kizuri kwa waamini lakini tukumbuke kuwa inabidi tuambizane kila jambo kwa uzuri ama kwa ubaya wake
 
7f96859ee0d6f6b7ace3c68e600f9932.jpg


Sina hakika sana na haya mambo ingawa wengi waliniambia nina nyota Kali enzi nipo gizani miaka hiyo kabla sijaiona nuru...
Usiache nuru iondoke kwako. Mungu akulinde
 
Mshana sasa mimi ntaelewaje au nikisoma zitanielekeza mpaka kujua nikitakacho. Coz niliziona kwenye apple moja inaitwa pinterest nilisomaa ckutoa kitu
Nenda Google kisha click free tarot card readings , zikishakuja utaona kitufye cha click to start. utaclik kadi sita kisha zitakupa majibu
 
Mtu anaweza kucheza mara ngapi na hii inahusiana vipi?
 
Samahani bado Nina swali how the system will now kuwa ni Mimi kama nikicheza mara zote hizo?? Maana niko tu nacheza random kwenye PC na sijaji register
Huna haja ya kujiregister kwakuwa uchezavvyo ndio actuality yako hivyo ukicheza mara nyingi unajivuruga mwenyewe na kupata matokeo ambayo sio sahihi
 
Siku hizi mkuu mshana jr kweli umeokoka aisee
Leo unatoa na ushauri kabisa kuhusu mambo ya kiza
 
Ndio soma maelezo yake uone kama yanalingana na hali yako ya sasa
Rafiki Mimi najua sana kuitumia hii kitu lakini imani yangu hainiruhusu, japo huwa nakatiza labda Mara moja kwa miezi miwili, bday yangu ya 2006 nilitumiwa kama zawadi nikaambiwa chagua halafu tuma rafiki sitosahau ktk maisha yangu. Nitasahau mwaka mzima inapofika bday yangu lazima nikumbuke
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom