G4rpolitics
JF-Expert Member
- Jul 29, 2015
- 4,335
- 5,184
Wala haina ubishi, kila kitu kipo wazi kwa sasa, CHADEMA nawapongeza kwa hii style mliyokuja nayo, hata kule Kenya, kuitoa KANU wapinzani walishika urafiki nao na kujua siri zao zote.
Hakukuwa na haja ya maandamano, wala kupigana ila mwisho wa siku ilikuwa rahisi kama kumsukuma mlevi, hivyo plan master wa CHADEMA kwa hili Big up.
Nendeni nao hivyo hivyo wameshalegea, 2025 mnawalegezea ili kuwapasua mdogo mdogo, then 2030 tutegemee chama kipya na watu wapyaa! CCM bye bye 2030.
Hakukuwa na haja ya maandamano, wala kupigana ila mwisho wa siku ilikuwa rahisi kama kumsukuma mlevi, hivyo plan master wa CHADEMA kwa hili Big up.
Nendeni nao hivyo hivyo wameshalegea, 2025 mnawalegezea ili kuwapasua mdogo mdogo, then 2030 tutegemee chama kipya na watu wapyaa! CCM bye bye 2030.