uttoh2002
JF-Expert Member
- Feb 3, 2012
- 19,819
- 38,335
Ni kwamba, 2025 hawatamsumbua Mama kwenye urais, ika watapiga viti vya ubunge swafi, mahaba yataendelea...
2030... MAMA wala hatapambana sana, cha kupata laana za Wazanzibara wenzangu ni nini?
Ataacha nature itake its path, hapo ndo Chadema watapiga vizuri kabisa, CCM itaanguka.
2030... MAMA wala hatapambana sana, cha kupata laana za Wazanzibara wenzangu ni nini?
Ataacha nature itake its path, hapo ndo Chadema watapiga vizuri kabisa, CCM itaanguka.