Eiyer
JF-Expert Member
- Apr 17, 2011
- 28,259
- 20,914
- Thread starter
- #81
Nakumbuka enzi hizo ukipikwa wali nyama au maharage ama pilau watu tulikua tunaoga mapema na kutulia home nyakat za jioni
Wakati mwingine ilikua ukimaliza kula unaweka kipunje cha ubwabwa juu ya mdomo na kuanza kukiringisha....😀😀😀
Mkuu umecheza mule mule
Tena kwa wale waliokuwa mikoa ya kaskazini ambako mchele ulikua adimu hii makitu ndo ilikuwa noma
Ukitumwa unarudi fasta ili usiambiwe hakuna kula ...lol!!!!!!!!!!