Tyta
JF-Expert Member
- May 21, 2011
- 12,767
- 10,536
Mie enzi zangu basi likiletwa sinia la wali yani kabla halijawekwa mezani naanza kuangalia wapi kuna nyama kubwa yani likifika tu naidaka ile nyama kubwa then ndo naendelea kula
dawa yako ni hii...
Mie enzi zangu basi likiletwa sinia la wali yani kabla halijawekwa mezani naanza kuangalia wapi kuna nyama kubwa yani likifika tu naidaka ile nyama kubwa then ndo naendelea kula
Kuna siku nilijikuta humo ndani kikazi. Wageni walipoondoka kilibaki chakula cha Kumwaga. Nikaona hapa leo wali Utanisamehe. Ilikua ni kuchapa nyama pori,vyuku,samaki,mbuzi,swala,bata yaani mpk unachemsha. Mule ndani jamaa wanafaidi bana.
Hahahaaaaa Eiyer hiyo tabia hadi sasa ninayo hasa kuku huwa namla wa mwisho kabisa, sjui ndo imeniathiri tangu mdogo, nikipakua chakula kwenye bufee hata nikiwa kwenye sherehe ntaanza kula wali salad viazi ndizi nyama na kuku na samaki kama zipo zinakuwa za mwisho kula daaah itabidi nibadilishe style ya kula.
Ila nile kwenye sahani yangu peke yangu, uke ya kula sinia moja siku hizi siiwezi tena
Mie nikishashiba siwezi kula tena nikafurahia ninachokila kwahiyo hapo ningeanza na kitu adimu kwanza ili hata nikishiba kwenye sinia ukabaki wali poa tu huo unaliwa daily!!!
Nyama yaliwa mwisho coz we always spare the best for last...lkn mi naenda viceversa nyama kwanza niishibe kisha ndo naendelea na msosi ha ha haa
Hahahahahaaaaaaaaaa!!!!
Na sisi tulikua na dogo ambae tulikua hawawezi kuruhusu tule nae maana lazima alikua analala au kushinda njaa maana tulikua tunakwenda speed ya jet kwenye kurusha matonge mdomoni ....lol!!!!!!!!!!!
acha tu, maisha haya tunayoishi nje ya mji hata siku munyu ukikuishia usiku huna pakuomba huwezi kamwe kushare na mikono yote hiyo.... Nyani kwenye mikono hiyo kuna wale wanawatia wenzao kinyaa anachota ubwa mkono umejaa akitia mdomoni mkono mzima kisha anarudisha kwenye sinia anakung'ung'utia, wote mna muacha....!
Misibani huwa unapewa sahani yako peke yako?
Mkuu tulikua na speed balaa wakati mwingine "maza" alikuwa anacheka sana ....!!
Wewe ni kama mimi, nakula nyama, kuku au fish kwanza, hata waifu ameshanijulia. Anaweka ugali kidogo nyama kibao.
Nyie mnaojifanya mnakula nyama ya mwisho inatakiwa nikutane na nyie kwenye kolabo la msosi, mtajuta......