Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 97,115
- 136,839
Mkuu umenikumbusha jamaa mmoja alikuwa ni mtaala sana wa kujua ilipo misiba,hitma,ubarikio,ubatizo,40 n.k
Huyu jamaa ni noma,alikuwa anakibaraghashia na alikua anaweka ndizi mbivu na pilipili
Ikitokea shughuli yeye anakua yupo kamili ....lol!!!!!!!!!!!!!
Ahahahaaaa nilichojifunza mimi ni kwamba ubwabwa wa shughulini usiununulie ndizi.
We tinga tu kininja, daka tonge, kula ubwabwa, kunywa mirinda yako halafu sepa.