Katavi
Platinum Member
- Aug 31, 2009
- 41,983
- 12,701
Leo nilikuwa na mizunguko mjini, na nilikuwa na kazi iliyohitaji niifanyie ndani ya internet cafe. Baada ya kumaliza kazi ile ilibidi niingie JF kujua nini kimejiri. Kwa kuwa internet cafe ile haikuwa na privacy jamaa aliyekuwa kompyuta ya jirani alikuwa akifuatilia nilichokuwa nafanya. Baada ya kulog in, alionekana kushangaa sana.........
"Wewe ndio Katavi"?? Mbona kijana sana", kabla sijaendeleza mazungumzo TANESCO wakachukua chao, nikasepa bila ya kuondeleza mazungumzo, sijui ni nani yule!!!
"Wewe ndio Katavi"?? Mbona kijana sana", kabla sijaendeleza mazungumzo TANESCO wakachukua chao, nikasepa bila ya kuondeleza mazungumzo, sijui ni nani yule!!!