Mildotty
JF-Expert Member
- Jun 29, 2016
- 278
- 198
Yes sure, daah duniani sisi sote ni wapitaji tu!Kwa Kiingereza inaitwa, "to make amends". Kurekebisha mambo yako ya huko nyuma ambayo unahisi hayakuwa sahihi. Nadhani alikwishaanza kuumwa na akahisi kifo. Ugonjwa wa figo uliomuondoa uchukuwa muda mrefu kabla ya kifo. Nadhani madaktari walimwambia kuwa siku zake ni chache.