Usiyoyajua kuhusu Tundu Antipas Mughwai Lissu

Anayeteka,kutesa na kuua wapinzani ndiye anaichafua nchi.
sawa ndiyo anaichafua nchi je ni nani/ niwatuwasiojulikana kama unawajuwa hebu wataje maana polisi au mtu yeyote hajawahi kuwaona au kuthibitisha kuwa ni fulani huo ni uhayawani wa lissu tu kuongea asicho kijua hawezi kuongoza nchi
 
Bwege wewe lini Lisu kaikashifu nchi? Hivi nyie Inzi wa kijani uelewa wenu mbona upo chini Kiasi hicho
utakuwa na matatizo ya akili kama hujui kama lissu alichafua nchi huko ughaibuni huku akijifanya mgonjwa huku akizurura bila sababu huyo ni mhuni kama walivyo wahuni wengine tu
 
Ikweta , you are less informed, juzi si alikuwa Kragwe akionekana kumpa hela mtoto barabarani. Alikuwa anatoka kwenye ranchi yake!
Aisee! Kipindi cha kampeni atapata tabu sana, ndio maana yupo bize kutaka kufuta upinzani ili yasizungumuzwe kumbe ndo ameongeza petrol kwenye moto
 
lete na ya NDUGAI

1. alimpiga bakora mpinzani wake kwenye kura za maoni kugombea ubunge
 
Ndungai kaleta aibu kubwa katika taifa letu.
ndugai hajatia aibu nchi anatekeleza matawa ya sheria ambayo hata lissu anaijua ila anataka huruma tu eti kwa sababui alipigwa risasi kwani hana chama cha kumuombea ruhusa au hakuweza kuandika barua ya ruhusa mbona kuzurura anaweza na kwenda kutukana hovyo huko ulaya anakula jeuri yake
 
Wewe ni fool: DO NOT ARGUE WITH A FOOL, PEOPLE MIGHT NOT NOTICE THE DIFFERENCE
 
sawa ndiyo anaichafua nchi je ni nani/ niwatuwasiojulikana kama unawajuwa hebu wataje maana polisi au mtu yeyote hajawahi kuwaona au kuthibitisha kuwa ni fulani huo ni uhayawani wa lissu tu kuongea asicho kijua hawezi kuongoza nchi
unataka kuziba jua kwa kiganja cha mkono?
 
Jamani ukisikia kuna wajukuu wa Mitume ndiye huyu Jamaa.. daaah, Watapambana nae Watashindwa mwisho wa Siku....
 
utakuwa na matatizo ya akili kama hujui kama lissu alichafua nchi huko ughaibuni huku akijifanya mgonjwa huku akizurura bila sababu huyo ni mhuni kama walivyo wahuni wengine tu
Hotuba zake zote niliziona sasa wewe andika/orodhesha hapa hizo kashfa ili tuzijadiri tujiridhishe kama ni kweli alikashfu nchi, msifikiri na sisi ni misukule kama ya lumumba
 
Hotuba zake zote niliziona sasa wewe andika/orodhesha hapa hizo kashfa ili tuzijadiri tujiridhishe kama ni kweli alikashfu nchi, msifikiri na sisi ni misukule kama ya lumumba
lumumba hakuna misukule pale kuna watu na akili zao ufipa ndiyo yamejaa mashoga matupu hayana kazi ya kufanya
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…