Kulikoni kukamatwa na kupewa kesi kina Mwabukusi, Mdude na Dkt. Slaa wakati Lissu ndiye anaupinga mkataba kwa lugha kali zaidi?

The unpaid Seller

JF-Expert Member
Oct 27, 2019
1,876
5,443
Peace,

Katika mjadala wa bandari hakuna aliemzidi Lissu kuzunguka huku na huko akikusanya halaiki kubwa na kupinga mkataba tena kwa lugha kali zaidi, huku akitema hoja nzito nzito zikiambatana na makaripio na dhihaka kwa mamlaka za serikali.

Sambamba na hoja zake za moto Lissu amefika mbali na kusema hadharani "mama yenu ni mwizi kama wezi wengine" au pia "huyu rais ni akili matope?!" nk ila wote ni mashahidi hakuna aliyejisogeza kumkamata wala kumfungulia kesi yoyote kama juhudi za kumnyamazisha kama wakosoaji wengine wa mkataba wa bandari ila kwa ushenzi zaidi aliitwa na kwa jeuri jamaa hakwenda na hawajamfanya chochote.

1. Je, tunaweza kukubaliana ya kwamba mamlaka zinamuogpopa Lissu?

2. Je, ni sahihi kuwaza ya kwamba mamlaka zinajua kumgusa Lissu ni kujitafutia kuvuliwa nguo hadharani?

3. Je, kuna ukweli wowote juu ya nadharia kua mwanasheria huyu mbobezi hakuna kichwa cha kumchallenge ndani ya serikali?

4. Je, upo uwezekano wowote wa mamlaka hatimae kushawishika kutumia mbinu kama ya mwendazake katika juhudi za kumkabili huyu "zimwi" Lissu?
 
Natafuta kujiunganisha na watetezi wa bandari naombeni utaratibu kwa kujiunga. Namaanisha, nataka siku likinifika lakunifika mimi Imalamawazo nibaki kwenye kumbukumbu ya kitaifa kuwa nami nilikuwa miongoni mwa waliopambania bandari.
 
Peace,

Katika mjadala wa bandari hakuna aliemzidi Lissu kuzunguka huku na huko akikusanya halaiki kubwa na kupinga mkataba tena kwa lugha kali zaidi, huku akitema hoja nzito nzito zikiambatana na makaripia na dhihaka kwa mamlaka za serikali.

Sambamba na hoja zake za moto Lissu amefika mbali na kusema hadharani "mama yenu ni mwizi kama wezi wengine" au pia " huyu rais ni akili matope ?!" nk ila wote ni mashahidi hakuna aliyejisogeza kumkamata wala kumfungulia kesi yoyote kama juhudi za kumnyamazisha kama wakosoaji wengine ila kwa ushenzi zaidi aliitwa na kwa jeuri jamaa hakwenda na hawajamfanya chochote.

1.Je tunaweza kukubaliana ya kwamba mamlaka zinamuogpopa Lissu ?!

2. Je ni sahihi kuwaza ya kwamba mamlaka zinagua kumgusa Lissu ni kujitafutia kuvuliwa nguo hadharani ?

3. Je kuna ukweli wowote juu ya nadharia kua mwanasheria huou mbobezi hakuna kichwa cha kumchallenge ndani ya serikali ?

4. Je upo uwezekano wowote wa mamlaka hatimae kushawishika kutumia mbinu kama ya mwendazake katika juhudi za kumkabili ?
Ni kwa sababu anamfahamu hata aliyeshirikki kumwondoa JPM halafu pia amefungwa kamera mwili mzima zinazopeleka taarifa nje ya nchi pindi tu mtu mwenye nia ovu akimsogelea kumfanya chochote ndio haogopi chochote kile. ukimnyang'anya simu au laptop mwili wake unaendelea kuwasiliana na satellite inayopeleka taarifa zote za picha na video kwa vitendo wanavyomfanyia.

Muda mchache ujao maovu yote yatakuwa hadharani
 
Peace,

Katika mjadala wa bandari hakuna aliemzidi Lissu kuzunguka huku na huko akikusanya halaiki kubwa na kupinga mkataba tena kwa lugha kali zaidi, huku akitema hoja nzito nzito zikiambatana na makaripio na dhihaka kwa mamlaka za serikali.

Sambamba na hoja zake za moto Lissu amefika mbali na kusema hadharani "mama yenu ni mwizi kama wezi wengine" au pia " huyu rais ni akili matope ?!" nk ila wote ni mashahidi hakuna aliyejisogeza kumkamata wala kumfungulia kesi yoyote kama juhudi za kumnyamazisha kama wakosoaji wengine wa mkataba wa bandari ila kwa ushenzi zaidi aliitwa na kwa jeuri jamaa hakwenda na hawajamfanya chochote.

1.Je tunaweza kukubaliana ya kwamba mamlaka zinamuogpopa Lissu ?!

2. Je ni sahihi kuwaza ya kwamba mamlaka zinajua kumgusa Lissu ni kujitafutia kuvuliwa nguo hadharani ?

3. Je kuna ukweli wowote juu ya nadharia kua mwanasheria huyu mbobezi hakuna kichwa cha kumchallenge ndani ya serikali ?

4. Je upo uwezekano wowote wa mamlaka hatimae kushawishika kutumia mbinu kama ya mwendazake katika juhudi za kumkabili huyu "zimwi" Lissu ?
CHADEMA wapo kwenye ndoa...na .....

Lissu alikuwa akipambana na Kaburi....

....na ieleweke hakuna kitu kama hichi(kesi ya uhaini) kiliwahi kutokea katika Serikali ya Hayat Rais J.P.Magufuli.

CHADEMA ni CCM, waliokamatwa.....hawamo humo kuwili.
 
Ni kwa sababu anamfahamu hata aliyeshirikki kumwondoa JPM halafu pia amefungwa kamera mwili mzima zinazopeleka taarifa nje ya nchi pindi tu mtu mwenye nia ovu akimsogelea kumfanya chochote ndio haogopi chochote kile. ukimnyang'anya simu au laptop mwili wake unaendelea kuwasiliana na satellite inayopeleka taarifa zote za picha na video kwa vitendo wanavyomfanyia.

Muda mchache ujao maovu yote yatakuwa hadharani
Huo ni Uwongo.
 
Peace,

Katika mjadala wa bandari hakuna aliemzidi Lissu kuzunguka huku na huko akikusanya halaiki kubwa na kupinga mkataba tena kwa lugha kali zaidi, huku akitema hoja nzito nzito zikiambatana na makaripio na dhihaka kwa mamlaka za serikali.

Sambamba na hoja zake za moto Lissu amefika mbali na kusema hadharani "mama yenu ni mwizi kama wezi wengine" au pia " huyu rais ni akili matope ?!" nk ila wote ni mashahidi hakuna aliyejisogeza kumkamata wala kumfungulia kesi yoyote kama juhudi za kumnyamazisha kama wakosoaji wengine wa mkataba wa bandari ila kwa ushenzi zaidi aliitwa na kwa jeuri jamaa hakwenda na hawajamfanya chochote.

1. Je, tunaweza kukubaliana ya kwamba mamlaka zinamuogpopa Lissu ?!

2. Je, ni sahihi kuwaza ya kwamba mamlaka zinajua kumgusa Lissu ni kujitafutia kuvuliwa nguo hadharani ?

3. Je, kuna ukweli wowote juu ya nadharia kua mwanasheria huyu mbobezi hakuna kichwa cha kumchallenge ndani ya serikali ?

4. Je, upo uwezekano wowote wa mamlaka hatimae kushawishika kutumia mbinu kama ya mwendazake katika juhudi za kumkabili huyu "zimwi" Lissu ?
Tulia wakati wake utafika
 
Peace,

Katika mjadala wa bandari hakuna aliemzidi Lissu kuzunguka huku na huko akikusanya halaiki kubwa na kupinga mkataba tena kwa lugha kali zaidi, huku akitema hoja nzito nzito zikiambatana na makaripio na dhihaka kwa mamlaka za serikali.

Sambamba na hoja zake za moto Lissu amefika mbali na kusema hadharani "mama yenu ni mwizi kama wezi wengine" au pia " huyu rais ni akili matope ?!" nk ila wote ni mashahidi hakuna aliyejisogeza kumkamata wala kumfungulia kesi yoyote kama juhudi za kumnyamazisha kama wakosoaji wengine wa mkataba wa bandari ila kwa ushenzi zaidi aliitwa na kwa jeuri jamaa hakwenda na hawajamfanya chochote.

1. Je, tunaweza kukubaliana ya kwamba mamlaka zinamuogpopa Lissu ?!

2. Je, ni sahihi kuwaza ya kwamba mamlaka zinajua kumgusa Lissu ni kujitafutia kuvuliwa nguo hadharani ?

3. Je, kuna ukweli wowote juu ya nadharia kua mwanasheria huyu mbobezi hakuna kichwa cha kumchallenge ndani ya serikali ?

4. Je, upo uwezekano wowote wa mamlaka hatimae kushawishika kutumia mbinu kama ya mwendazake katika juhudi za kumkabili huyu "zimwi" Lissu ?
Kumchinja kobe kunataka timing...halafu ukikosea tuu kichwa kinarudi ndani.. Timing was miscalculated

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Peace,

Katika mjadala wa bandari hakuna aliemzidi Lissu kuzunguka huku na huko akikusanya halaiki kubwa na kupinga mkataba tena kwa lugha kali zaidi, huku akitema hoja nzito nzito zikiambatana na makaripio na dhihaka kwa mamlaka za serikali.

Sambamba na hoja zake za moto Lissu amefika mbali na kusema hadharani "mama yenu ni mwizi kama wezi wengine" au pia " huyu rais ni akili matope ?!" nk ila wote ni mashahidi hakuna aliyejisogeza kumkamata wala kumfungulia kesi yoyote kama juhudi za kumnyamazisha kama wakosoaji wengine wa mkataba wa bandari ila kwa ushenzi zaidi aliitwa na kwa jeuri jamaa hakwenda na hawajamfanya chochote.

1. Je, tunaweza kukubaliana ya kwamba mamlaka zinamuogpopa Lissu ?!

2. Je, ni sahihi kuwaza ya kwamba mamlaka zinajua kumgusa Lissu ni kujitafutia kuvuliwa nguo hadharani ?

3. Je, kuna ukweli wowote juu ya nadharia kua mwanasheria huyu mbobezi hakuna kichwa cha kumchallenge ndani ya serikali ?

4. Je, upo uwezekano wowote wa mamlaka hatimae kushawishika kutumia mbinu kama ya mwendazake katika juhudi za kumkabili huyu "zimwi" Lissu ?
Kamkamatwe wewe naona una nyege nae
 
Peace,

Katika mjadala wa bandari hakuna aliemzidi Lissu kuzunguka huku na huko akikusanya halaiki kubwa na kupinga mkataba tena kwa lugha kali zaidi, huku akitema hoja nzito nzito zikiambatana na makaripio na dhihaka kwa mamlaka za serikali.

Sambamba na hoja zake za moto Lissu amefika mbali na kusema hadharani "mama yenu ni mwizi kama wezi wengine" au pia "huyu rais ni akili matope?!" nk ila wote ni mashahidi hakuna aliyejisogeza kumkamata wala kumfungulia kesi yoyote kama juhudi za kumnyamazisha kama wakosoaji wengine wa mkataba wa bandari ila kwa ushenzi zaidi aliitwa na kwa jeuri jamaa hakwenda na hawajamfanya chochote.

1. Je, tunaweza kukubaliana ya kwamba mamlaka zinamuogpopa Lissu?

2. Je, ni sahihi kuwaza ya kwamba mamlaka zinajua kumgusa Lissu ni kujitafutia kuvuliwa nguo hadharani?

3. Je, kuna ukweli wowote juu ya nadharia kua mwanasheria huyu mbobezi hakuna kichwa cha kumchallenge ndani ya serikali?

4. Je, upo uwezekano wowote wa mamlaka hatimae kushawishika kutumia mbinu kama ya mwendazake katika juhudi za kumkabili huyu "zimwi" Lissu?
watatumia no 4
 
Back
Top Bottom