Usiyoyajua kuhusu Coco Beach!

Usiyoyajua kuhusu Coco Beach!

mkuu ni nouma wale walishakula hela yangu ndefu! siku nilikuwa na serengeti.mmoja ndio wakadai hii kesi kabisa ya Babu seya! ili kupandisha dau wana njaa kitu

halafu wakishtukia umeoa upo na mchepuko ndo hela ndefu itakutoka zaidi
 
Mnaogopa sana polisi mkiombwa ela tu mnatoa haraka haraka.
Nyie ni maadui wa mapambano dhidi ya rushwa.
Nafuu nilipe hela nikalale kwao kuliko kwenda kulala lock up kwa kesi ya kusingiziwa uzururaji/ujambazi!
 
Ni sababu gani haswa inakufanya uende Coco Beach kila mara halafu ubaki ndani ya gari kula, kunywa, etc umejifungia ndani ya gari? Kwani huwezi kufanya yote hayo chumbani?
 
Askari kule hawalindi watu usalama wao bali wanavizia watu wawabambikie makesi yasiyo na msingi hasa ukienda na gari bila kushuka watakuvizia weee na wana watu wao wanaowapelekea taarifa hasa wale wauza miogo ya kutembeza
 
halafu wakishtukia umeoa upo na mchepuko ndo hela ndefu itakutoka zaidi
Sana mkuu wanajua kusoma saikoloji.wakiona unachachawa sana wanajua unaogopa.halafu wanakuwa na pingu! hujawahi valishwa hata siku moja unaona ndio umekwisha nafuu ucheue laki yaishe. kwanza wenye wake hawaendagi nao kule wengi wao.
 
Ni sababu gani haswa inakufanya uende Coco Beach kila mara halafu ubaki ndani ya gari kula, kunywa, etc umejifungia ndani ya gari? Kwani huwezi kufanya yote hayo chumbani?
mkuu democracy kila mtu na kitu anachopenda na kwenda unakotaka.mfano kwangu hata kwako sidhani kama unaweza kupata mishikaki ya samaki na ndizi za kuchomwa.au outing ya kawaida.kwanini ukae nyumbani 24/7 that is boring life.
 
Askari kule hawalindi watu usalama wao bali wanavizia watu wawabambikie makesi yasiyo na msingi hasa ukienda na gari bila kushuka watakuvizia weee na wana watu wao wanaowapelekea taarifa hasa wale wauza miogo ya kutembeza
kweli kabisa mkuu ndio maana nawatahadhalisha wasiojua hilo waepuke kutoa mwamala
 
Niliwahi kukamatwa coco beach katika kile kilima nikimgegeda demu wangu ndani ya gari.Nilikuwa form six kipindi kile.Ilikuwa tafrani ila sakata lilisha kwa amani.
Watu wengi wanatumia ufukwe ule kufanya ngono.
 
Niliwahi kukamatwa coco beach katika kile kilima nikimgegeda demu wangu ndani ya gari.Nilikuwa form six kipindi kile.Ilikuwa tafrani ila sakata lilisha kwa amani.
Watu wengi wanatumia ufukwe ule kufanya ngono.
mkuu sasa ukimgegeda demu wako.ndani ya gari lako.polisi anahusika veepe na faragha zako? coco beach.hapafai
 
Niliwahi kukamatwa coco beach katika kile kilima nikimgegeda demu wangu ndani ya gari.Nilikuwa form six kipindi kile.Ilikuwa tafrani ila sakata lilisha kwa amani.
Watu wengi wanatumia ufukwe ule kufanya ngono.
Lakini na nyie mnaoenda kufanya ufuska beach mna matatizo. Mnakwepa gharama za lodge au?
 
Lakini na nyie mnaoenda kufanya ufuska beach mna matatizo. Mnakwepa gharama za lodge au?

Hahaha....ni kuongeza ubunifu tu.Mapenzi ya gesti ni ya kizee.Mimi na shemeji yako tulikuwa na tabia ya kumegana popote.Cha fasta
 
Ndo tatizo la public beach,wampe manji tu awekeze tujivinjari kwa raha zetu.
 
Yaani wamekukosaa zotee awakupati tens Mpwa ningekuwa mm nmeyawamji ningekupa hatarobo ya coco usimamie mpwa
 
Back
Top Bottom