Usiyoyajua kuhusu Coco Beach!

Usiyoyajua kuhusu Coco Beach!

Kwa maelezo yako kuna kila dalili kuwa Hapo COCO BEACH kuna uhalifu sana, kwanini polisi wawe wengi hivyo?
 
Ha ha ha ha haaa! Umenikumbusha mbali sana! Kuna Jamaa Mmoja mwembamba mfupi, kakomaaa sana sura, halafu anavaaa suruali flani Hivi mbwanga Za kushonesha Zina marinda ya kutosha, sometimes anapiga Na tshirt flan Hivi Mpauko yenye Nyuzi legevu! Huyu Jamaa alinifanya nipachukie sana CoCo hasa mchana!

Nina Kama Miaka mi'3 Hivi sijafika coco mchana! Hua naingia pale Anzia Saa tano Usiku!
Miaka kadhaa iliyopita nilikuwa mdau wa kutembelea fukwe zetu zilizopo Dar na kwingine upepo unakovuma.story ya leo itagusa matukio ya COCO BEACH!
Tukio la kwanza nimeende Coco na mwenza wangu kula upepo wa bahari yetu ya hindi.nimepark gari.ilikuwa mida ya saa kumi na mbili na nusu,kigiza kinaanza.tukashuka na kwenda pembezoni mwa bahari kuyakaribia maji chumvi. kulikuwa na wadau wengine wanatamalaki hapo pia.

kama kawaida ya wapendanao tulikuwa zero distance busu kwa mbali.tukaamua tukae pembezoni kwenye mawe tukipiga stori za hapa na pale,mara akaja askari hana uniform kajitambulisha na kudai kitendo chetu cha kukaa kwa kukaribiana na kukiss kando ya bahari ni kufanya mapenzi hadharani? nikauliza.kivipi hakuna aliyevua nguo hapo wala kumshika mwenzie.ikawa tumezua zogo.nikamaliza ile tafrani na yule askari.

Tukio la pili nilienda Coco safari nyingine niliamua sasa nikae kwenye gari na mwenza wangu.kosa nililofanya sikufunga milango ya gari.kuna vijana huwa wanapitisha biashara zao pembeni ya gari kama gari ni tinted bado wanapita mbele ya gari na kuchungulia watu walioko kwenye gari kujua kama ni wapenzi na kama mmezama kwenye mahaba hata kama hamfanyi ngono kwenye gari wanaenda kutoa taarifa kwa maaskari.ambao wanakuja kuwakamata na kuwabambikia kesi! siku hiyo walifungua gari na kudai tuna kiss karibu na eneo la waziri mkuu.

pale Coco kuna makazi yake.(sio Majariwa)tukakamatwa mpaka oysterbay kituoni.tulipaki nje askari mmoja aliingia ndani mwingine alibaki nasisi.tulibishana hatimae tukayamaliza.
Mara nyingine ya mwisho tulienda pale Coco beach club.kwenye parking ile nimekaa kidogo wakaja askari watano na siraha zao wanaopatrol kule baharini tukawafungulia milango wakaona hakuna lolote pia tulijibu maswali yao kwa ufasaha na uzoefu wakasepa zao.

kabla hatujaondoka kwakuwa tulikaa kwenye gari mda mrefu tukipiga story na kuagiza tunachotaka na kula kwenye gari wakatokea askari wengine wawili wenye uniform tofauti na wa mwanzo wakawa wanapiga mahesabu ya kutuzingira na kufungua milango ya gari na kushtukiza kama kuna chochote kinafanyika.niliona mchezo mzima kwenye site/driving mirror.mmoja alianza kutambaa(craw) kulijia gari letu.

kwakuwa mda wote nikiwa kwenye gari huwa nakuwa makini na linakuwa limewashwa.nikaliondoa kwa kasi.sijawahi rudi tena kule labda nikiwa na hamu ya mishikaki ya Samaki kwa kipara ndio naenda na kuacha gari mbali na nikiwa peke yangu.

Fundisho ukiwa na gari popote lock milango yake pia elewa ukiwa COCO Beach na mwenza chukua tahadhali vinginevyo unaweza kugeuzwa mradi na polisi wetu.pia usiwaamini wale wauza biashara wanaokujia kwenye gari au pale ulipo kaa wanashirika na askari wa kule.

Wish you a lovely long week end,keep your faith in what you believe.
'
Miaka kadhaa iliyopita nilikuwa mdau wa kutembelea fukwe zetu zilizopo Dar na kwingine upepo unakovuma.story ya leo itagusa matukio ya COCO BEACH!
Tukio la kwanza nimeende Coco na mwenza wangu kula upepo wa bahari yetu ya hindi.nimepark gari.ilikuwa mida ya saa kumi na mbili na nusu,kigiza kinaanza.tukashuka na kwenda pembezoni mwa bahari kuyakaribia maji chumvi. kulikuwa na wadau wengine wanatamalaki hapo pia.

kama kawaida ya wapendanao tulikuwa zero distance busu kwa mbali.tukaamua tukae pembezoni kwenye mawe tukipiga stori za hapa na pale,mara akaja askari hana uniform kajitambulisha na kudai kitendo chetu cha kukaa kwa kukaribiana na kukiss kando ya bahari ni kufanya mapenzi hadharani? nikauliza.kivipi hakuna aliyevua nguo hapo wala kumshika mwenzie.ikawa tumezua zogo.nikamaliza ile tafrani na yule askari.

Tukio la pili nilienda Coco safari nyingine niliamua sasa nikae kwenye gari na mwenza wangu.kosa nililofanya sikufunga milango ya gari.kuna vijana huwa wanapitisha biashara zao pembeni ya gari kama gari ni tinted bado wanapita mbele ya gari na kuchungulia watu walioko kwenye gari kujua kama ni wapenzi na kama mmezama kwenye mahaba hata kama hamfanyi ngono kwenye gari wanaenda kutoa taarifa kwa maaskari.ambao wanakuja kuwakamata na kuwabambikia kesi! siku hiyo walifungua gari na kudai tuna kiss karibu na eneo la waziri mkuu.

pale Coco kuna makazi yake.(sio Majariwa)tukakamatwa mpaka oysterbay kituoni.tulipaki nje askari mmoja aliingia ndani mwingine alibaki nasisi.tulibishana hatimae tukayamaliza.
Mara nyingine ya mwisho tulienda pale Coco beach club.kwenye parking ile nimekaa kidogo wakaja askari watano na siraha zao wanaopatrol kule baharini tukawafungulia milango wakaona hakuna lolote pia tulijibu maswali yao kwa ufasaha na uzoefu wakasepa zao.

kabla hatujaondoka kwakuwa tulikaa kwenye gari mda mrefu tukipiga story na kuagiza tunachotaka na kula kwenye gari wakatokea askari wengine wawili wenye uniform tofauti na wa mwanzo wakawa wanapiga mahesabu ya kutuzingira na kufungua milango ya gari na kushtukiza kama kuna chochote kinafanyika.niliona mchezo mzima kwenye site/driving mirror.mmoja alianza kutambaa(craw) kulijia gari letu.

kwakuwa mda wote nikiwa kwenye gari huwa nakuwa makini na linakuwa limewashwa.nikaliondoa kwa kasi.sijawahi rudi tena kule labda nikiwa na hamu ya mishikaki ya Samaki kwa kipara ndio naenda na kuacha gari mbali na nikiwa peke yangu.

Fundisho ukiwa na gari popote lock milango yake pia elewa ukiwa COCO Beach na mwenza chukua tahadhali vinginevyo unaweza kugeuzwa mradi na polisi wetu.pia usiwaamini wale wauza biashara wanaokujia kwenye gari au pale ulipo kaa wanashirika na askari wa kule.

Wish you a lovely long week end,keep your faith in what you believe.
'
Hao polisi wa O bay hawajaacha tu mchezo wao?
Mi yalinipata hayo miaka 20 iliyopita!
Mradi huo " kuyamaliza"
 
Kwa maelezo yako kuna kila dalili kuwa Hapo COCO BEACH kuna uhalifu sana, kwanini polisi wawe wengi hivyo?
Njaa Mkuu! Jamaa wananjaa sana! Na Ni Miaka mingi sana wapo pale, hata Sasa Hivi tunazungumza hapa huenda kuna mwengine anahangaika kuomba hela kwenye tigopesa ili Jamaa wamuachie.
 
mi pia nlinitokea nimekaa na mchuchu mahali tukaanza kukiss wakati tunaondoka wakatufuata mlikuwa mnafanya mapenzi. tukasumbuana hapo na hela wakanitoa. halafu wakati tunaondoka wakajifanya kunipa ushauri eti siku nyingine muwe mnakaa kwenye gari. manina zao
 
Katika fukwe nazochukia basi coco, nakumbuka nilikwenda pale mwaka 2011 nilikuwa na rafiki zangu fulani toka nje ya nchi basi, Baada ya kunywa madafu na mishkaki pale, Muda tunataka kuondoka kaja kijana mmoja anadai malipo ya parking, namuuliza parking zipi za kulipia hapa? Ananionyesha risit za manispaa ambazo hata mimi naweza kuzitengeneza,
Kwakweli tulibishana mno mpaka wakafika 3 nilibisha kulipa na sikulipa kweli, wale jamaa zangu walitaka kulipa niliwazuia kabisa kulipa, mpaka leo sijawahi kwenda pale na sina hamu napo tena
 
Kuna mtu alikamatwa dada yake pale na akafunguliwa kesi ya kufanya ngono hadharani, baba yao alipofika kituo cha polisi, polisi walitafutana. Maana mzee alikuwa na nafasi yake kwenye serikali akataka polisi aliyewakamata aeleze alichoona.
Almanausura watu wapoteze kazi kwenye hicho kituo cha polisi maarufu.
 
Kuna mtu alikamatwa dada yake pale na akafunguliwa kesi ya kufanya ngono hadharani, baba yao alipofika kituo cha polisi, polisi walitafutana. Maana mzee alikuwa na nafasi yake kwenye serikali akataka polisi aliyewakamata aeleze alichoona.
Almanausura watu wapoteze kazi kwenye hicho kituo cha polisi maarufu.
mkuu wale askari ni balaa! mimi mpaka leo nawafahamu walionipeleka O-Bay.wananjaa za ajabu mnooo.
 
Kuna mtu alikamatwa dada yake pale na akafunguliwa kesi ya kufanya ngono hadharani, baba yao alipofika kituo cha polisi, polisi walitafutana. Maana mzee alikuwa na nafasi yake kwenye serikali akataka polisi aliyewakamata aeleze alichoona.
Almanausura watu wapoteze kazi kwenye hicho kituo cha polisi maarufu.
hata hiyo hawawezi kuacha! imagine wamekamata mtu na dada yake ndani ya gari! wajinga sana wale askari
 
mkuu unaweza kufafanua huko KUMALIZANA mlikuwa mnamalizanaje...kwa MANENO au kwa MAHESABU na kama ni mahesabu viwango vyao vikoje? hii itasaidia wadau KUJIPANGA pindi wawapo maeneo hayo.
 
hata hiyo hawawezi kuacha! imagine wamekamata mtu na dada yake ndani ya gari! wajinga sana wale askari
Mara ya mwisho kwenda hapo Ilikuwa 2014 Na nilikaa kule mwenye Ile bar.
Huku kwa wachoma/wakaanga mihogo Ni usumbufu mtupu.
 
Katika fukwe nazochukia basi coco, nakumbuka nilikwenda pale mwaka 2011 nilikuwa na rafiki zangu fulani toka nje ya nchi basi, Baada ya kunywa madafu na mishkaki pale, Muda tunataka kuondoka kaja kijana mmoja anadai malipo ya parking, namuuliza parking zipi za kulipia hapa? Ananionyesha risit za manispaa ambazo hata mimi naweza kuzitengeneza,
Kwakweli tulibishana mno mpaka wakafika 3 nilibisha kulipa na sikulipa kweli, wale jamaa zangu walitaka kulipa niliwazuia kabisa kulipa, mpaka leo sijawahi kwenda pale na sina hamu napo tena
kweli.mkuu receipt zao ni jipu halafu wanakula buku.
 
Waku
mkuu wale askari ni balaa! mimi mpaka leo nawafahamu walionipeleka O-Bay.wananjaa za ajabu mnooo.[/QUOTE

Walikuaachia bila chochote au walikwambia "tufikirie kidogo"?!
 
mi pia nlinitokea nimekaa na mchuchu mahali tukaanza kukiss wakati tunaondoka wakatufuata mlikuwa mnafanya mapenzi. tukasumbuana hapo na hela wakanitoa. halafu wakati tunaondoka wakajifanya kunipa ushauri eti siku nyingine muwe mnakaa kwenye gari. manina zao
mkuu ni nouma wale walishakula hela yangu ndefu! siku nilikuwa na serengeti.mmoja ndio wakadai hii kesi kabisa ya Babu seya! ili kupandisha dau wana njaa kitu
 
so why coco beach,nenda cine club,kawe club,ama beach za kueleweka.kuna wakati nilikua mteja sana kule kwa wanajeshi kule kawe bia bei chee,kuna siku walimbananisha jamaa kichapo mpaka alikunya.sikwenda tena
hahahaha! nacheka kama mazuri...aliwakosea nini mkuu au UBABE tu?
 
Back
Top Bottom