Katika fukwe nazochukia basi coco, nakumbuka nilikwenda pale mwaka 2011 nilikuwa na rafiki zangu fulani toka nje ya nchi basi, Baada ya kunywa madafu na mishkaki pale, Muda tunataka kuondoka kaja kijana mmoja anadai malipo ya parking, namuuliza parking zipi za kulipia hapa? Ananionyesha risit za manispaa ambazo hata mimi naweza kuzitengeneza,
Kwakweli tulibishana mno mpaka wakafika 3 nilibisha kulipa na sikulipa kweli, wale jamaa zangu walitaka kulipa niliwazuia kabisa kulipa, mpaka leo sijawahi kwenda pale na sina hamu napo tena