Scott junior
JF-Expert Member
- Mar 24, 2022
- 2,402
- 3,178
- Thread starter
- #21
Hii maneno sijawahi kuielewaNi hatari kwa afya yako ,hairuhusiwi kutumia ukiwa chini ya miaka 18 ,tumia kistaarabu.
Hii maneno sijawahi kuielewaNi hatari kwa afya yako ,hairuhusiwi kutumia ukiwa chini ya miaka 18 ,tumia kistaarabu.
Sina uhakikaNatumia vizuri tu mkuu
Hali ni tete mkuu fanya jambo nilambe mchuzi.Ndo umefikia huku
Huwa wanazingua kabisa kama ni hatari kwa afya kwanini wauze? Hairuhusiwi kuuzwa je wanaowatuma watoto wakatae? Kiustaarabu kuanzia ngapi?Hii maneno sijawahi kuielewa
Ukawaringishie wachawi kuzimuTufe nayo mazima ya kazi gani?
Ponda mali kufa kwaja.
Kwahiyo nilale njaa na vitamins zipo😆Dada hata kama we ni jobless
Huku umefikia pabaya.
Hii ndo dawa yenu hakuna Ndugu kuchangia Hela za hospitalTufe nayo mazima ya kazi gani?
Ponda mali kufa kwaja.
Sema nilishaacha ndio maana ya kuokoka, nimeokolewa mkuu😅Sina uhakika
Umekaa kilokole sana haha
Ukisoma yale maelezo kwenye sigara ndio utacheka sana.🤣Huwa wanazingua kabisa kama ni hatari kwa afya kwanini wauze? Hairuhusiwi kuuzwa je wanaowatuma watoto wakatae? Kiustaarabu kuanzia ngapi?
Hii ndo dawa yenu hakuna Ndugu kuchangia Hela za hospitalTufe nayo mazima ya kazi gani?
Ponda mali kufa kwaja.
Sisi ni wanyaji smart🤣Hii ndo dawa yenu hakuna Ndugu kuchangia Hela za hospital
Pole sanaSema nilishaacha ndio maana ya kuokoka, nimeokolewa mkuu😅
Hhahaha namkubali sana Dr ana madini mengi sema ukimsikiliza unaweza ukaona kama anafanya utani.Hii ndo dawa yenu hakuna Ndugu kuchangia Hela za hospital
Hakutoa mkuuHhahaha namkubali sana Dr ana madini mengi sema ukimsikiliza unaweza ukaona kama anafanya utani.
ALitoa sababu gani kwamba wakiugua wazikwe hai?
Hii ndo dawa yenu hakuna Ndugu kuchangia Hela za hospital
Usiwaze mkuu mi sio malaika nikiwa na kiwiii nakata mzinga vizuri kabisa, kuwa na amani😂Pole sana
Nimsamehe sana nimekukumbusha na kukutamanisha🤣
Kwanini kavaa pampaz🙆🏽♀️View attachment 3539151
Sisi ni wanyaji smart hao walevi unaowazungumzia ni hawa👆😂😂
Ndugu yangu hata mimi sielewi😆Kwanini kavaa pampaz🙆🏽♀️