Crocodiletooth
JF-Expert Member
- Oct 28, 2012
- 22,862
- 27,676
Huyu jamaa anawezaje kula makitu kama kenge,je midude ya aina hii huwa aina sumu?,au kuna namna ya upishi wake!.....
Nani kakwambia yupo Dar es salaamNdo nani huyo huko dasilama? Huna kavideo na sisi wa huku mashinani tumuone ?
Tulikamatwa tunachunga ng'ombe karibu na hifadhi ya taifa miaka hiyo na Hawa jamaa wa gemu,Huyu jamaa anawezaje kula makitu kama kenge,je midude ya aina hii huwa aina sumu?,au kuna namna ya upishi wake!.....