Marco Polo
JF-Expert Member
- Jan 16, 2014
- 9,378
- 13,387
Umeandika ukweli mchungu.
Nakazia hapo , na sio tu division 1 bali ni division 1 kali 3-6 ,. Huu ndio uhalisia mwanafunzi wa CO anabidi awe nao kichwani kwake. Hali kadhalika kwa mhitimu wa PCB- kuingia Muhimbili lazima uwe na div 1- Guide ๐ฃ๐๐- ๐ธ๐๐ถ๐ป๐ด๐ถ๐ฎ ๐ ๐๐ต๐ถ๐บ๐ฏ๐ถ๐น๐ถ ๐น๐ฎ๐๐ถ๐บ๐ฎ ๐๐๐ฒ ๐ป๐ฎ ๐ฑ๐ถ๐ ๐ญ- ๐๐๐ถ๐ฑ๐ฒ book ni chini sana ya hiyo.
Hii haimaanishi watu wasisome kozi hii, bali wasome kwa uhalisia uliopo sasa hivi na sio kuja na ndoto za alinacha. Vijana someni!
Uchumi changamoto pia mkuuHapana! Uzi huu unatoa mwanga kwa kijana na wazazi wasioijua hii kozi, hali ya soko lake ktk ajira, kuendelea na masomo-mfano MD n.k.
Na maelezo kama haya ni muhimu kwa walimu huko sekondari kuwapa vijana. Mbaya ni kumpa mtu matumaini yasiyoendana na uhalisia. Mfano- Guide book ya Muhimbili- MD inahitaji minimum ya GPA 3.0 (CO). Uhalisia ni kwamba kwa zaidi ya miaka 10 hawajawahi kuchukua CO mwenye chini ya GPA 4.5. Huu ndio uhalisia mwanafunzi wa CO anabidi awe nao kichwani kwake. Hali kadhalika kwa mhitimu wa PCB- kuingia Muhimbili lazima uwe na div 1- Guide book ni chini sana ya hiyo.
Hii haimaanishi watu wasisome kozi hii, bali wasome kwa uhalisia uliopo sasa hivi na sio kuja na ndoto za alinacha. Vijana someni!
mtu anaunga dip kwa D 4 afu degree atakutana na mtu katandka AAA PCB,Serikali imeharibu hzi kozi za CO kwa kuruhusu udahili wa uwe alama D ...yahn serious mtu anaenda kusomea utabibu kwa kupata alama D.Nina experiences ya kufundisha mtu anayepata D huwa na uwezo mdogo sana wa kureason mambo na wengi huwa wanapata divisions 3.ukimpata mtu anasoma CO kwa selection ya alama D halafu kapata division 1 nimekaa pale.
MD unamfananisha na CO? uko serious?ADDO imefutwa?
Kama MD anaruhusiwa kuuza duka la dawa why not CO?
Hii imekaaje?
Nikufata waziri DM mpk atoe nenoAu kama addo bado inatolewa tunaomba utujuze chuo ambacho kinatoa kwa sasa maana hata mm nataka kusoma addo. Na huwa nna regret kwann sikusoma.
Na sababu kubwa sio addo kukosa ubora ila ni wingi wa pharmacy technician ana dispenser (level 4) wanaohitim kwa sasa hakuna upunguf.
Na kwenye upnde wa pharmacy hata mtu anaishia level 4 & 5 anaweza kudispense dawa ndo mana addo ikafutwa
Sister kuna waliopata div one form four ila six kapiga zero acha kujikatisha tamaa kisa triple A za PCB twende kwenye practical kam huifanyii kazi hizo A itakuw buremtu anaunga dip kwa D 4 afu degree atakutana na mtu katandka AAA PCB,
Elimu inachezewa wallah.
Practical huyu wa AAA za PCB anafanyia Degree, na sio Dip km huyo failures wa D 4Sister kuna waliopata div one form four ila six kapiga zero acha kujikatisha tamaa kisa triple A za PCB twende kwenye practical kam huifanyii kazi hizo A itakuw bure
Mh kazi kweli kweli ila sio kwamba wanaosoma diploma wana ufaulu huo but kuna wengine wana div one kabisa lakini wanazngua pia maana sometime unakuta mtu uko vizuri theory lakini ukikutana na chief wodini anakukazia kabisa hutoboi sasa div one yako inaingia wapi kwenye uelewa wa mtu darasani au?Practical huyu wa AAA za PCB anafanyia Degree, na sio Dip km huyo failures wa D 4
Unataka kusema wa Dip ni bora kuliko wa degree?Mh kazi kweli kweli ila sio kwamba wanaosoma diploma wana ufaulu huo but kuna wengine wana div one kabisa lakini wanazngua pia maana sometime unakuta mtu uko vizuri theory lakini ukikutana na chief wodini anakukazia kabisa hutoboi sasa div one yako inaingia wapi kwenye uelewa wa mtu darasani au?
No!namaanisha sio wote wako na ufaulu huo wa D 4 flatUnataka kusema wa Dip ni bora kuliko wa degree?
Hapana siko serious madamMD unamfananisha na CO? uko serious?
Oooh hapo sawaa.No!namaanisha sio wote wako na ufaulu huo wa D 4 flat
ndio madamOooh hapo sawaa.
Chuo gani mkuu, mnahitaji pongeziGuidebook 2023/24 GPA ni 3.0 na kuendelea
Chuo nilichosoma mtu wa mwisho alkua na gpa ya 3.6 kwa tulioanza nao level 4. ila wale waliokuja ku upgrade ndo kuna mmoja alipata 3.0 ambae huyu kuna module arirudia na alkua peke ake aliefeli na mwingine 3.5 na walio pata gpa chini ya 4.0 walkua sita tu kati ya wahitim 62 (but this was 2019)
Sikujua kama lugalo wanachuoMkuu acha ubishi ,nakupa mfano mwaka 2021 chuo cha Lugalo wa mwisho alikua na 4.3 GPA unasemaje hapo?. Siku hizi Clinical medicine ina mazingira wezeshi sana watu kutoboa kuna mambo mengi mwanafunzi ashindwe mwenyewe ni kama unavyona form 4 ya sasa ilivyo rahisi kufaulu. Tunakubali wanaofeli wapo ila kwa rate ndogo sana.
Kwel mwanangu hapa majangaHuu mkuki.
Mwanangu p nilipanga asiende five na six apige CO.
Kwel mwanangu hapa majangaHuu mkuki.
Mwanangu p nilipanga asiende five na six apige CO.
Mpeleke six wewe acha umanguloKwel mwanangu hapa majanga