Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 97,863
- 141,437
[/Color]
Hahahaha Nyani Ngabu umeniacha hoi, ni kweli kabisa usemayo usiri usiyo na tija hauna maana yoyote.
Unakuta mtu anahangaika na kukazana kumficha au kutokumruhusu mwenzake aishike simu yake.
Na unakuta anaiwekea sijui namba ya siri....
Kwa nini hataki mwenzake awe huru na simu yake kama hana la kuficha?
Ni hivi vitu vidogo vidogo ndo hupelekea usiri kwenye mambo makubwa makubwa.