MALCOM LUMUMBA
JF-Expert Member
- Jul 26, 2012
- 21,703
- 71,039
Ndo yale yale kama mambo ya simu.
Watu mmeoana lakini eti kila mtu ana simu yake ambayo mwenzake haruhusiwi kuigusa!
Kuna nini humo kwenye simu ambayo hutaki mwenzio ayaone?
Eti simu yangu ni yangu na yake ni yake.
Alaaaa! Mbona papuchi ni yako na mboli ni yake lakini mnaachiana mshikane.....
Hi Thomasina!!!!