Usiri wa mali katika ndoa

Usiri wa mali katika ndoa

unaoana mnashare kila kitu lakini kwenye simu na mali unaona ndio vya maana ........wanandoa wanatakiwa kubadilika kuacha ubinafsi
 
Okey vizuri sana, watoto nao wanakuja kula na mama yao hapo vipi?.....lol.

That is given...kwa kawaida watoto especcially wa kiume watatumia mali na mama yao....ILA mimi kama mimi nitakuwa nimeshaplay part yangu kuwa: Nimemilikisha rasmi mali kwa majina ya watoto kwakuwa mama yao si Mwaminifu na haaminiki. Thats all.
 
That is given...kwa kawaida watoto especcially wa kiume watatumia mali na mama yao....ILA mimi kama mimi nitakuwa nimeshaplay part yangu kuwa: Nimemilikisha rasmi mali kwa majina ya watoto kwakuwa mama yao si Mwaminifu na haaminiki. Thats all.

Utajiskiaje mkeo anamiliki kitu wewe hujui? Halafu unakuja kuambiwa sababu wewe si mwaminifu......
 
Utajiskiaje mkeo anamiliki kitu wewe hujui? Halafu unakuja kuambiwa sababu wewe si mwaminifu......

Ikiwa kweli mimi sio mwaminifu na siaminiki katika ndoa yangu mimi na yeye ni sawa kabisa,hiyo ni reason ya msingi sana katika ndoa.
 
Mwanamke unaweza kumuoa akiwa na tabia nzuri na ukajenga imani kwake,lakini anaweza kubadilishwa na mazingira,au ushawishi kutoka kwa marafiki au ndugu(behaviour can be influenced by Nurture...not only Nature)

Kuhusu kuwamilikisha Watoto mali hilo ni jambo la muhimu sana,tena ni vizuri zaidi kuwamilikisha Mapema ingali uzima upo.

Akibadilika just play yo part as a man, aply akili mliyoambiwa muitumie kuishi na sisi, na kama kwako hiyo akili ni kutokumshirikisha kwa chochote ili umkomoe, basi fikiria wanao, ila usisahau kuwa baada ya kuondoka kwako ni huyohuyo kilaza ndie atakaehangaika na hao watoto uliowaacha bila chochote.
 
Akibadilika just play yo part as a man, aply akili mliyoambiwa muitumie kuishi na sisi, na kama kwako hiyo akili ni kutokumshirikisha kwa chochote ili umkomoe, basi fikiria wanao, ila usisahau kuwa baada ya kuondoka kwako ni huyohuyo kilaza ndie atakaehangaika na hao watoto uliowaacha bila chochote.

Unakosea...Nimesema mali nitawamilikisha watoto (kwa majina yao) na si mama yao ikiwa mama yao sio wa kuaminika.

Kwahivyo,sitawaacha watoto bila chochote kama ulivyosema.
 
Ikiwa kweli mimi sio mwaminifu na siaminiki katika ndoa yangu mimi na yeye ni sawa kabisa,hiyo ni reason ya msingi sana katika ndoa.

Ubarikiwe kama yanatoka moyoni mwako. ........ maana hamchelewi kusema mmeibiwa!!
 
huu upepo nao utapita tu, naona kuna watu wa nacheza ngoma wasiyoijua
 
Unakosea...Nimesema mali nitawamilikisha watoto (kwa majina yao) na si mama yao ikiwa mama yao sio wa kuaminika.

Kwahivyo,sitawaacha watoto bila chochote kama ulivyosema.

Naongelea msingi wa mada na ulichoongelea kuwa wanawake wengine ni vilaza na wengine inasemekana huua waume zao,
Sasa hao vilaza umesema wanabadilika kulingana na mazingira, hivyo ni kitu ambacho hakitokei tu ubruptly, kwa maana hii hutomshirikisha tangu awali, au pale atakapobadilika tu?

Na kwa upande wa hao inaosemekana wanaua waume zao(sijui wa wapi hawa)!! In this case unakuwa unamuoa ukijua kabisaa kuwa huyu ni waleee na hutomshirikisha kwa chochote, if thats the case kwanini unamuoa? Kwa faida ya nani?
 
That is given...kwa kawaida watoto especcially wa kiume watatumia mali na mama yao....ILA mimi kama mimi nitakuwa nimeshaplay part yangu kuwa: Nimemilikisha rasmi mali kwa majina ya watoto kwakuwa mama yao si Mwaminifu na haaminiki. Thats all.

Babu Dark City alishaelezea hapa kuhusu hili suala la kuandikisha mali kwa majina ya watoto. I hope atakuja atoe ufafanuzi zaidi kwa ajili ya wengi
 
Last edited by a moderator:
Weee!!! Acha my dia, hii dunia imegeuka sana, watu wanaona ili kuzaa tu, mambo mengine ndugu na marafiki ndio wanajua, jitu la hivyo ikitokea bahati mambaya mauti imemchukua loh!!! Wakati mwingine ndugu hata hawasemi lolote, hasa ukizingatia familia nying zinaashumu mtu ukifiwa na mume utaenda kuolewa tena.


Kwanin uwaze mwanaume anakufa kabla ya mwanamke?
What if wewe ukafa kabla ya mumeo?
 
Naongelea msingi wa mada na ulichoongelea kuwa wanawake wengine ni vilaza na wengine inasemekana huua waume zao,
Sasa hao vilaza umesema wanabadilika kulingana na mazingira, hivyo ni kitu ambacho hakitokei tu ubruptly, kwa maana hii hutomshirikisha tangu awali, au pale atakapobadilika tu?

Na kwa upande wa hao inaosemekana wanaua waume zao(sijui wa wapi hawa)!! In this case unakuwa unamuoa ukijua kabisaa kuwa huyu ni waleee na hutomshirikisha kwa chochote, if thats the case kwanini unamuoa? Kwa faida ya nani?

Sintamshirikisha pale nitakapogundua tabia yake,in most cases ni atakapobadilika.
 
Hata kabla sijasoma michango ya wadau, kwenye uzi huu natamani sana kumsikia NANDERA
atoto najua msimamo wake hata bila ya kusoma alichoandika kwenye uzi huu, kuna uzi wake mahali alishawahi kuweka kila kitu hadharani
 
Last edited by a moderator:
Utajiskiaje mkeo anamiliki kitu wewe hujui? Halafu unakuja kuambiwa sababu wewe si mwaminifu......

Wapo wengi tu wanafanya hivyo mbona, nasikia wanafundishana huko kwenye kitchen party zao
 
Back
Top Bottom