Kazi ipo.
Asilimia Mia,ni watoto was familia za WanaCCM.
Bahati nzuri nchi yetu ina amani hakuna vuruguvurugu za kivita,ila ni Nchi yenye raia waoga kiwango cha PhD.
Kiukweli,hao jamaa wenye ueled na kazi yao ni asilimia 30 tu.
CCM janga hakika,maswala ya kimsingi wao wanatanguliza siasa.
Ipo siku tutatafutana.Mfumo was elimu yetu bado mbovu.